Ustaadh akamatwa!!!

Status
Not open for further replies.

Two iraqi men, aged 28 amd 34, who live in Lincoln, Nebraska, married two iraqi girls, aged 13 and 14, in a private Islamic ceremony attended by family and friends. The two men have been arrested, charged with the sexual assault of a child and could be sentenced to 50 years of prison because the marriage age in Nebraska is at least 18 years of age. Their attorney argued that the men didn't know about the law and that they were merely following their religious custom of courtship and marriage.

" The point I would like to make is that The Muslim world has been exploiting young girls for quite sometime now in the name of Islam and Allah. These are child abuse and it does occur on a daily basis throughout Islamic world. Rich Arab Muslims have been caught several times on the exit ports of India and Malaysia leaving with clueless, helpless girls clutching onto their dolls and other meager belongings. "

This is what the Ustaadh was doing. Anahonga katoto kawatu Nguo za Krismas kwa mtaji wa kula uroda, huku akidanganya kuwa anakufundisha Koran kumbe anakafundisha unyumba. It is shame and sad to see religious islamic clergies doing such wicked and evil things to innocent children.

It is more shameful and sad to see some members of Jamii Forum wanatetea unyama huu kwa nguvu zao zote. Kweli kihama kimekaribia.
 

Two iraqi men, aged 28 amd 34, who live in Lincoln, Nebraska, married two iraqi girls, aged 13 and 14, in a private Islamic ceremony attended by family and friends...

...Uhh huh, hivi unajua katika umri huo 12-14yrs Virgin Mary ndipo alipokuwa na Joseph?
 
...Uhh huh, hivi unajua katika umri huo 12-14yrs Virgin Mary ndipo alipokuwa na Joseph?


I can see that you don't even have a clue. When was Mary conjugaled? How old was Mary when she had Jesus?

Anyway, hapa tunazungumzia madhambi ya Islamic Ustaadh na sio Mary.
 

...Anyway, hapa tunazungumzia madhambi ya Islamic Ustaadh na sio Mary.

...ooooh 😱 really?

sasa na haya
Originally Posted by MaxShimba

Haya tusome ukweli kuhusu Uislam na Mashoga.

Kitabu cha Bukhari kinasema:...
(blah, blah, blah..)
yalitoka wapi?

Hallelujah Brother! 😀
 

Kwahiyo unoana ni sawa kwa Ustaadhi kula uroda katoto ka darasa la nne? Huna haya we, au na wewe ni vilevile/WALEWALE kama Ustaadhi. Mbona unamtetea sana huyu jamaa PEDOPHILE?

Sasa, Koran imekosea wapi, ilipo wapa ninyi MA ALWATAN Mashoga, tena wa imani moja? Hivi hujuwi ANTI MUDI ni mfuasi wa Mohammad. Hivi hujuwi wanao kula uroda kwa ANTI Mudi wengi wao na/au wote ni MAUSTAADH NA MASHEHE wa Kiislam. LOL.

Hebu angalia jibu lako "What a big deal kutajwa Virgin boys" IT IS A BIG DEAL. Yani hawo mabikira 72 hawawatosheni mpaka muongeze na suna ya vivulana vya watu? Ngono kwenu haina raha mpaka mlawiti!

Wewe na akili zako zote, unawasha Kopyuta na kupost hoja za kutetea ulawiti, tena wa vivulana to the point of saying WHAT A BIG DEAL! Kweli duni imekwisha. Alafu unasema na kudai kuwa unafuata dini ya haki na upendo. Kumbe upendo wenu ni wa vivulana, tena vyote ni bikira kama ALLAH wenu alivyo dai. Inatia huzuni sana kuona watu bado wanatetea uasherati bila ya hata kuona aibu. Tena kwa nguvu zao zote na akili zao zote.

Jibu maswali ya Mary.
 

Mimi nina chuki na watu wanaofanya ngono na watoto, hata angekuwa nani! wewe unataka nimwite nani mtu aneoa mtoto wa miaka 9! nimwite Mbakaji??
Hiyo roho iliyomwogoza unaamini kweli imetoka kwa Mungu? basi pole, haina hata haja hata ya kutumia akili sana, ile roho haikutoka kwa bwana wa majeshi. Hata wewe inakuongoza roho hiyohiyo tu ya yule Joka kuu. Ukitaka ifuate ile kweli ikuweke huru.
 
Tamaa za watu zisiingizwe kwenye dini. Mtu wa dini yoyote anaweza kufanya dhambi si kwa sababu ya dini yake, bali tamaa zake. Kama kuna mtu anafahamu dini inayoruhusu ubakaji, ulawiti na unajisi atuletee data.
 
Hivi kwenye biblia umri wa kuolewa ni miaka mingapi? najua Japan msichana akishafisha miaka 15 ni ruhusa kufanya ngono na ukitembea naye hapo hamna kosa la ubakaji. Mimi nadhani haya mambo ya umri wa kufanya ngono au kuolewa yako very complicated. Usipokuwa na mawazo huru wakati wa kuyajadili unaweza kufanya injustice kwa watu wengine.
Swala la mtu kufanya kosa kama la kutaka kubaka haliwezi kuwa associated na dini yake; hizo ni tamaa zake binafsi.
 
...Uhh huh, hivi unajua katika umri huo 12-14yrs Virgin Mary ndipo alipokuwa na Joseph?

Hahahaha, kumbe jibu unalo mwenyewe! Virgin maana yake nini? Ulikuwa unauliza jibu!.
 
...ohh, thought una ilmu na haya;


I can see that you don't even have a clue. When was Mary conjugaled? How old was Mary when she had Jesus?

In Judaism, Bar Mitzvah is one to whom the commandments apply, i.e following Jewish law once females reach the age of 12.



Jibu maswali ya Mary.

Judaism and the Hebrew Bible
Isaiah 7:14



...talking about dini, au uislamu inashabikia ushoga, nadhani si sahihi, angalia mfano wa madhehebu mengine;


...mwisho, kama nilivyosema awali, matendo ya ngono, usagaji na liwati ni kinyume na mafundisho na maadili ya ubinaadamu, yafanywe na Padre Sixtus Kimaro, Ustaadhi Dadi, au ndoa baina ya watu wa jinsia moja, yote yanapaswa kukemewa kwa nguvu zote bila kujali itikadi ya dini fulani...

I rest my case.
 

Nafikiri umesahau kuanza na nukuu hii, ambayo ingeonesha ni jinsi gani wewe ni mkweli na si vinginevyo..Nayo ni hii..

It will not be without interest to recall here, unreliable though they are, the lengthy stories concerning St. Joseph's marriage contained in the apocryphal writings.

Haya nasubiri burdani zaidi..
 
...Unreliable?... kwakuwa enzi hizo simulizi hazikuwa zinanukuliwa kwa maandishi au? vipi kuhusu sheria za ndoa kuhusu Hebrews pia katika Tanakh?

anyway,... ni kubadilishana mawazo tu, sio ushindani. Mimi ni msomaji tu toka kwenye hayo maandishi toka mikono ya waandishi.

Naamini Issa Bin Maryam ni nabii wa mwenyezi mungu, na alizaliwa ki miujiza kwa uwezo wa mwenyezi mungu. mambo ya umri wa kuolewa hao mama za mitume, na wake wa mitume enzi hizo tumuachie mwenyezi mungu na hukumu zake, ukisoma historia ya mitume wote, utastaajabu mengi.

Tuendelee kulaani paedophilia, kwa maisha ya kisasa, ya Musa tuyaache huko huko.

am out of this.
 
Last edited:


Mkuu Mbu heshima mbele.
Naomba kusahihisha kidogo mimi napata taabu kuwafananisha Issa Bin Maryam katika Quran tukufu na yesu Kristo kweye Biblia kwamba ni mmoja.Kwa ufahamu wangu naamini hawa ni watu wawili tofauti kabisa hawana uhusiano wowote tena wanaojaribu kutuambia Issa na Yesu ni kitu kimoja ni wapotoshaji wakubwa.
Naomba kuwasilisha.



Naomba kuwasilisha hoja.
 
watu watapinga, watu watatetea, je niulize imeandikwa kabaka, je kukubaliana ndio kubakana moja, huyu kisichana alikuwa anataka nini saa nne usiku, huyu msichana ana umri wa miaka mingapi, kule uingereza mtoto akifika miaka kumi na sita mtu yoyote anaweza kumpiga nao kama watakubaliana, je huyu ustadi ndio anatuwakilisha sote, kule marekani kanisa limeomba radhi maaskofu kuwapiganao watoto wa kiume, kanisa limeficha miaka yote, je hii pia ni kuteteana
 

kwanza nataka nikusifu kwa upeo wako mkubwa kuweza kuunganisha mawazo,matendo ya nyumbani na nje ya nchi, leo kanisa linatakiwa lilipe fidia kwa ajili ya makosa ya mapadre kuwanajisi watoto wa kiume, mimi nilitegemea mapadre na dini yao nzuri watakuwa wametakasika, lakini wao ndio wanaoongoza duniani kwa kunajisi watoto wa kiume, jen ni UKRISTO unaoruhusu watu kuingiliana kwa nyuma au ni tabia chafu ya mapadri, ambayo ni tofauti na ukristo, kweli nim,eamini sisi watanzania bado tuko nyuma kimawazo, au mnataka uislamu upelekwe mahakamani kwa kosa la ustadi
 
Hivi mnajua maana ya Ustadhi?, je uislam kama dini unachocheo cha ustadhi?
Ustadhi imekuwa kama ndio muislam safi ama kioo cha uislam, wakati ni jina kwa anayefindisha. sasa huyu waliyemkodi kuwafundishia mtoto wao walimpata wapi?, anacheti cha taaluma ya ufundishaji, anatambulika na waalimu wenzie wa madrasa maana wana chombo chao cha kudhibiti maadili na kusimamia mfumo wa ufundishaji na taaluma ya ufundishaji. sasa huyu yumo ?
 
...Kwa ufahamu wangu naamini hawa ni watu wawili tofauti kabisa hawana uhusiano wowote tena wanaojaribu kutuambia Issa na Yesu ni kitu kimoja ni wapotoshaji wakubwa.
Naomba kuwasilisha.

Naomba kuwasilisha hoja.

...ahsante kwa sahihisho, mimi na Imani yangu, nawe unaamini kivyako.

...naamini Immanu-el ndiye Jesus katika English version Bibles, na tena hana tofauti na Y'shua katika Tanakh, au Iesus katika Greek Orthodox Bible, pia Yesu katika biblia ya kiswahili... na ndiye Isa ibn Maryam(RA) katika Qur'an.

Tofauti ni katika simulizi tu.
 
Last edited:
...Unreliable?... kwakuwa enzi hizo simulizi hazikuwa zinanukuliwa kwa maandishi au? vipi kuhusu sheria za ndoa kuhusu Hebrews pia katika Tanakh?

Unashangaa nini sasa wakati wewe ndo uliyetuchomoloa nukulu nusu-nusu ili utuingize kingi? Au ndo umeshituka sasa hivi kwamba sio reliable eeh?

Bua ha ha...



anyway,... ni kubadilishana mawazo tu, sio ushindani. Mimi ni msomaji tu toka kwenye hayo maandishi toka mikono ya waandishi.


Kwani nani alikwambia kuwa tunashindana..Hapa tupo hapa kwa ajili ya kuhakikisha jamii ya WaTz inakuwa well informed na SIO BLAH BLAH na HALF-TRUTHS..

Sawasawa?


Kwa hiyo sasa hivi ndo umebadili mawazo baada ya kukuonesha sehemu muhimu kabisa ya reference yako? Dah ..nakupongeza kwa hii 'U-turn'..



Tuendelee kulaani paedophilia, kwa maisha ya kisasa, ya Musa tuyaache huko huko.

am out of this.

Tutaendelea kulaani mafisadi wote wa miongo yote, hata kama wanajisingizia UTUME.. hapa hakuna double standards..Kama mtu anayedhaniwa ni 'mtume' wa mungu anakuwa pedophile what does this entails? Au na hili kwako ni tambarare? Huoni kuwa kuna-some sort of alarm ktk ujumbe mzima wa huyu 'mtume'?
 
Kwani nani alikwambia kuwa tunashindana..Hapa tupo hapa kwa ajili ya kuhakikisha jamii ya WaTz inakuwa well informed na SIO BLAH BLAH na HALF-TRUTHS..

Sawasawa?

...sawasawa mkubwa 😀
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…