johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ustaadh Yasin wa Taqwa masjid anasema kama Chadema hawatasimama sawa sawa Kifo Cha Meddy Kibao ndio Mwanzo wa Mwisho wao
Ustaadh Yasin anasema kitendo cha Chadema kushindwa kumfanyia hata Hitma nyota Yao hii iliyofia Vitani kutawagharimu bila Wenyewe kujijua
Ustaadh Yasin alikuwa akijibu maswali mbalimbali ya Wachamungu na ndiye aliyesema Kisomo Cha Tanga kinaweza kuanzia kudhuru mbali sana kabla Watu hawajashtuka
Ahsanteni Sana 😃
Ustaadh Yasin anasema kitendo cha Chadema kushindwa kumfanyia hata Hitma nyota Yao hii iliyofia Vitani kutawagharimu bila Wenyewe kujijua
Ustaadh Yasin alikuwa akijibu maswali mbalimbali ya Wachamungu na ndiye aliyesema Kisomo Cha Tanga kinaweza kuanzia kudhuru mbali sana kabla Watu hawajashtuka
Ahsanteni Sana 😃