TANZIA Ustaadhi Juma Zuberi Ali Afariki Dunia Alitibiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili

Huyo ni Mdogo wake Mufti wa Bakwata Sheikh Zubeir
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa watu mnataka kupangiana mpaka cha kuandika, hapo jamaa alikua anamaanisha
إنّا لله وإنّا إليهِ رَاجعُون.
hajui kuna typing error watu WaPo kwenye majonzi yeye analeta utoto
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa watu mnataka kupangiana mpaka cha kuandika, hapo jamaa alikua anamaanisha
إنّا لله وإنّا إليهِ رَاجعُون.
Bwana eh ubinadam kazi

Ova
 
Poleni sana kwa msiba wa Ustaadhi Juma Zuberi Ali (Mdogo wake Mufti). Ila nilitamani sana kufahamu maana ya hilo neno "Allahu Yarhamhuu" Lina maana gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…