hizi nyumba naonaga kwa movie tuView attachment 2799933
Nchi zetu za Afrika zimejaliwa ardhi kubwa na ujenzi wetu wengi ni ujenzi usiopimwa.
Mijjni uhaba wa ardhi umeshaonekana na kuna watu wanaoweza kubuni makazi ya watu wengi katika eneo dogo.
Picha ni chumba kinachoweza kupangishwa na mtu asiye na familia, hiki chumba kinaweza kuwafaa hata wanafunzi wa chuo.
Ukiishi katika eneo kama hiki inabidi uwe na nidhamu. Unapovua viatu ujue kabisa unaviweka wapi. Kabla ya kununua hata kikombe ujue kabisa utakihifadhi wapi.
Wafanya biashara wa mijini wamegundua uwekezaji katika eneo dogo.
WOWKwenye kiwanja chako unaweza kujenga kitu Kama hiki kikakuingezea kipato.
Kiwanja chenye nyumba unayoishi au rasmi kwa wapangaji? Hili la kuweka vibanda kwenye kila kona ya nyumba yako yako ya kuishi mimi nalipinga sana. Nyumba ya kuishi inatakiwa iwe na garden na nafasi na siyo vishoroba vya nyumba eti kuweka wapangaji. Kuna ndugu yangu ukienda kwake utadhani upo ukanda wa Gaza. Alikuwa na uwanja mkubwa lakini kila pembe ameweka kijumba cha mpangaji. Yaani hata kwa kwenda juu ameweka vighorofa vidogo utadhani ni mtu kapanga mawe. Na ni Dar sasa kwenye joto. BTW ulikuwa likizo nini? Hujaonekana JF kwa muda.Kwenye kiwanja chako unaweza kujenga kitu Kama hiki kikakuingezea kipato.
Inaregemea na uchumi wako, sisi wakina pangu pia kavu tia mchuzi ndiyo jinsi tunavyopata hela ya mboga.Kiwanja chenye nyumba unayoishi au rasmi kwa wapangaji? Hili la kuweka vibanda kwenye kila kona ya nyumba yako yako ya kuishi mimi nalipinga sana. Nyumba ya kuishi inatakiwa iwe na garden na nafasi na siyo vishoroba vya nyumba eti kuweka wapangaji. Kuna ndugu yangu ukienda kwake utadhani upo ukanda wa Gaza. Alikuwa na uwanja mkubwa lakini kila pembe ameweka kijumba cha mpangaji. Yaani hata kwa kwenda juu ameweka vighorofa vidogo utadhani ni mtu kapanga mawe. Na ni Dar sasa kwenye joto. BTW ulikuwa likizo nini? Hujaonekana JF kwa muda.
Nimependa hiyo ya birika kukaa juu ya curtain box hakuna mende kuonja chai yanguView attachment 2799933
Nchi zetu za Afrika zimejaliwa ardhi kubwa na ujenzi wetu wengi ni ujenzi usiopimwa.
Mijjni uhaba wa ardhi umeshaonekana na kuna watu wanaoweza kubuni makazi ya watu wengi katika eneo dogo.
Picha ni chumba kinachoweza kupangishwa na mtu asiye na familia, hiki chumba kinaweza kuwafaa hata wanafunzi wa chuo.
Ukiishi katika eneo kama hiki inabidi uwe na nidhamu. Unapovua viatu ujue kabisa unaviweka wapi. Kabla ya kununua hata kikombe ujue kabisa utakihifadhi wapi.
Wafanya biashara wa mijini wamegundua uwekezaji katika eneo dogo.
Luv itView attachment 2799933
Nchi zetu za Afrika zimejaliwa ardhi kubwa na ujenzi wetu wengi ni ujenzi usiopimwa.
Mijjni uhaba wa ardhi umeshaonekana na kuna watu wanaoweza kubuni makazi ya watu wengi katika eneo dogo.
Picha ni chumba kinachoweza kupangishwa na mtu asiye na familia, hiki chumba kinaweza kuwafaa hata wanafunzi wa chuo.
Ukiishi katika eneo kama hiki inabidi uwe na nidhamu. Unapovua viatu ujue kabisa unaviweka wapi. Kabla ya kununua hata kikombe ujue kabisa utakihifadhi wapi.
Wafanya biashara wa mijini wamegundua uwekezaji katika eneo dogo.
Kwenye kutandika Kitanda mimi mnisamehe bure, sifanyi hata siku moja na sijui kwa nini.Kabisa mzee, upangaji mzuri wa chumba huvutia sanaaaa,
Yan unaingia kwenye chumba kila kitu kipo mahali pake inavutia, + kitanda kitandikwa, wengi huwa hatutandiki kitanda hahahah
Zaidi ulaya wale wakimbizi wanaopewa Hifadhi. Nilishuhudia hii nchi flan.hizi nyumba naonaga kwa movie tu
Anayebuni wazo hili anampango wakuwa na wapangaji kama wanne wanaoshare nyumba hivyo ni jukumu la mwenye nyumba kujali mazingira. wewe unaweza kununua visanduku ukaweka udongo na kupanda mimea yako mradi uwe unaimwagilia na kuipalilia na utavuna mwnyewe.nnje una ka garden kako kazuriii, ukipata mgeni hapo anajua kabisa hapa leo niondoke hamna kulala.
Hii nifor single person siyo mtu na mke na watoto. Kumbuka hapa ni nadra kuwa na bafu na choo private ni sharing kwa watu wawili walili hivyo inabidi uwe na mpangaji mwenzio mnayeelewana au ni msafi ama sivyo bafu na choo ni wewe tuu.Zaidi ulaya wale wakimbizi wanaopewa Hifadhi. Nilishuhudia hii nchi flan.
Ni maisha magumu kuliko tunavyoona uzur na kimpangilio.
Hutakuja kuona mzungu na familia yake Amejibana hiviH
Zile nyumba za vyumba sita “face me I face you” zamani wakina mama walipanga majiko ya mkaa kwenye corridor ya kati kati. Sikuhizi kila mpangaji ana jiko la gesi ndani. Hiyo ni mitungi sita katika nyumba moja na hakuna mwenye fire extinguisher.Moto nje nje