Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 52,160 Reaction score 48,974 Nov 3, 2023 #21 Kangenifaa enzi za ubachela
Imalamawazo JF-Expert Member Joined Jul 27, 2021 Posts 1,343 Reaction score 3,269 Nov 3, 2023 #22 Mawembasa1979 said: Kwenye kutandika Kitanda mimi mnisamehe bure, sifanyi hata siku moja na sijui kwa nini. Click to expand... Hahaa, mimi hadi binti mlokole wa watu alinifundisha sala ya wakati wa kutandika kitanda baada ya kuamka. Kila asubuhi anapiga simu kuuliza kama nimesali, najibu ndiyooo! Lakini akija geto anakuta kitanda hakijatandikwa hadi neti iko imetanda...
Mawembasa1979 said: Kwenye kutandika Kitanda mimi mnisamehe bure, sifanyi hata siku moja na sijui kwa nini. Click to expand... Hahaa, mimi hadi binti mlokole wa watu alinifundisha sala ya wakati wa kutandika kitanda baada ya kuamka. Kila asubuhi anapiga simu kuuliza kama nimesali, najibu ndiyooo! Lakini akija geto anakuta kitanda hakijatandikwa hadi neti iko imetanda...