Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
Happy Saturday viongozi,
Kwanza tuweke swala moja bayana hali ni ngumuuu, aisee maisha ni tight naona sio kwa muajiriwa au mfanya biashara ila nisiongelee wengine sema kwa cycle yangu kila mtu analia noki nimegundua nina cycle ya ajabu ata nikitaka laki 5 ya chap sina wa kuniazima dah.
Twende kwenye mada, hivi na hali hii wazee umekaa zako unakuna P weekend hii mara msg:
Hiyo pesa imetumwa kimakosa, baada ya dakika simu inaita kuombwa kurudisha muamala.
Ukweli kutoka moyoni, utarudisha? Au kutafutiana lawama?
Kalaga Baho Nongwa mzee wa micro finance apo vp?
Kwanza tuweke swala moja bayana hali ni ngumuuu, aisee maisha ni tight naona sio kwa muajiriwa au mfanya biashara ila nisiongelee wengine sema kwa cycle yangu kila mtu analia noki nimegundua nina cycle ya ajabu ata nikitaka laki 5 ya chap sina wa kuniazima dah.
Twende kwenye mada, hivi na hali hii wazee umekaa zako unakuna P weekend hii mara msg:
Hiyo pesa imetumwa kimakosa, baada ya dakika simu inaita kuombwa kurudisha muamala.
Ukweli kutoka moyoni, utarudisha? Au kutafutiana lawama?
Kalaga Baho Nongwa mzee wa micro finance apo vp?