Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
Asante mtumishi, ila hauna njaa weweNitarudisha mkuu , kutorudisha ni wizi kama wizi mwingine .
Mm n jobless na nna njaa knoma ila hiyo pesa nngeirudisha.Asante mtumishi, ila hauna njaa wewe
Safi mzeeMm n jobless na nna njaa knoma ila hiyo pesa nngeirudisha.
Njaa haiwezi kufanya niwe mwizi kamwe .Asante mtumishi, ila hauna njaa wewe
Kabisa mkuuMm n jobless na nna njaa knoma ila hiyo pesa nngeirudisha.
I understand 🤝I know the feeling ya kudhulumiwa au kupoteza kiasi kikubwa cha pesa,
Mm nitarudisha, mana najua ni pesa ambayo haitaweza badilisha maisha yangu
Kwa hiyo ikibadilisha maisha yako hautarudisha😅I know the feeling ya kudhulumiwa au kupoteza kiasi kikubwa cha pesa,
Mm nitarudisha, mana najua ni pesa ambayo haitaweza badilisha maisha yangu
Hivi unajua ukimkamata mtoto anaiba chakula haitakiwi ata umuadhibu?Njaa haiwezi kufanya niwe mwizi kamwe .
Unatakiwa uji adhibu wewe ulie mlea mtoto katika makuzi ya ujambaziHivi unajua ukimkamata mtoto anaiba chakula haitakiwi ata umuadhibu?
Nyooo.. hela naihamisha na laini navunjaHappy Saturday viongozi,
Kwanza tuweke swala moja bayana hali ni ngumuuu, aisee maisha ni tight naona sio kwa muajiriwa au mfanya biashara ila nisiongelee wengine sema kwa cycle yangu kila mtu analia noki nimegundua nina cycle ya ajabu ata nikitaka laki 5 ya chap sina wa kuniazima dah.
Twende kwenye mada, hivi na hali hii wazee umekaa zako unakuna P weekend hii mara msg:
View attachment 3083338
Hiyo pesa imetumwa kimakosa, baada ya dakika simu inaita kuombwa kurudisha muamala.
Ukweli kutoka moyoni, utarudisha? Au kutafutiana lawama?
Kalaga Baho Nongwa mzee wa micro finance apo vp?
Yan hyo ni zali umepata au inatakiwa urudishe?Mungu anakupa kwanjia yatofauti naunayofikiri
Huo ni wizi sasaNyooo.. hela naihamisha na laini navunja
Mantiki yangu ni kwamba kuna muda u aiba pasipo kusudi sihalalishi wizi laknUnatakiwa uji adhibu wewe ulie mlea mtoto katika makuzi ya ujambazi