USTADH MGANGA ATABIRI RAIS KUPOKEA TUZO ZA KIMATAIFA

Tao

Senior Member
Joined
Nov 10, 2018
Posts
105
Reaction score
195

Ustadh Mganga ambaye ni bingwa wa utabiri hapa Afrika Mashariki ametabiri kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan hivi karibuni ataanza kupokea tuzo za kimataifa kutokana na kazi kubwa ambayo amekuwa akifanya hasa katika nyanja za amani,demokrasia na utawala bora,pamoja na mapambano dhidi ya umaskini.
Hili ni jambo jema kwani Jumuiya ya kimataifa imetambua kazi kubwa inayofanywa na Rais huyo wa awamu ya sita.
 
hilo mbona lipo wazi, uyo ostadh aache kiherehere
 
Mbona Mheshimiwa Raisi SSH yupo safi,wasiomuelewa mpe muda katika miaka 2 mtarudi hapa kumlamba miguu.Wapo wamejawa na ulafi wanamchafua,its too late,our President ni very smart,do not under rate her.
Mama yetu she is a perfect leader not ruler.
Mungu azidi kumuongoza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…