Usumbufu wa masomo ya jioni CBE Campus ya dar es salaam

Nsanya01

New Member
Joined
May 29, 2018
Posts
1
Reaction score
1
Serikali itusaidie wanafunzi wa CBE Campus ya dar tumejisajili diploma ya miaka mitatu lakini hadi sasa hatujaanza kusoma na tayari tumemaliza certificate lakini wanasema hatuwezi kuendelea kusoma masomo ya jioni na hatuelewi ni kitu gani kinaendelea na hatuelewi kama tutasoma au ndo tumemaliza kusoma hiyo certificate
 
Kwani msiposoma mtakufa? Mbona sisi hatujasoma na maisha yanasonga! Hapa ni JF siyo serikalini. Ungeandika Bango ukapeleka kule mjengoni karibu na kituo cha Kivukoni
 

Kizazi cha malalamiko
 
Elimu ya Tanzania ni kichaka cha upigaji na Utapeli.
 
WEWE NAWE VYUO VYOOOTE HUJAVIONA HADI UENDE CBE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…