Usumbufu wa TRA kwenye kufunga ving'amuzi

Usumbufu wa TRA kwenye kufunga ving'amuzi

Marathon day

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
643
Reaction score
1,016
Ndugu wahusika kumekua na usumbufu mkubwa kwa kampuni zilizopewa tenda ya kufunga ving'amuzi kwa magari ya Transit.

Bei hazieleweki, mtu akiamka ataviuza kwa 60,000/ siku nyingine mpaka inafika 80,000/ system zake zinasumbua, mda mwingine havisomi kwenye system.

Vinaleta usumbufu sana kwa wateja. Ningeshauri TRA kuviondoa tu, wateja wawe wanapita check point kama zamani, waviache kwenye MA container tu, Huu ni usumbufu Sana kwa wateja kwakweli.
 
Ndg wahusika kumekua na usumbufu mkubwa kwa kampuni zilizopewa tenda ya kufunga ving'amuzi kwa magari ya Transit. Bei hazieleweki, mtu akiamka ataviuza kwa 60,000/ siku nyingine mpaka inafika 80,000/ system zake zinasumbua, mda mwingine havisomi kwenye system . Vina leta usumbufu Sana kwa wateja. ningeshauri TRA kuviondoa tu, wateja wawe wanapita check point kama zamani, waviache kwenye MA container tu, Huu ni usumbufu Sana kwa wateja kwakweli.
Hiyo gharama Kwa kulinda mzigo WA ml 100 bado Ni ndogo tajiri au unaonaje?
 
Hiyo gharama Kwa kulinda mzigo WA ml 100 bado Ni ndogo tajiri au unaonaje?

Mkuu hata kama thamani ya ving'amuzi hivyo uchina huko ni $1 tu?

Kama kawaida ya mtanzania kwamba haimhusu yeye, haina maana. Au siyo?

Bure kabisa ..!
 
Mkuu hata kama thamani ya ving'amuzi hivyo uchina huko ni $1 tu?

Kama kawaida ya mtanzania kwamba haimhusu yeye, haina maana. Au siyo?

Bure kabisa ..!
Kama unataka kujua Mimi na wewe Nani Ni hopeless jijibu maswali yafuatayo:-

1) unajua gharama ya hizo receiver?
2) Unajua operation cost MTU akiwa safarini mtandao unahisi haulipiwi.. au operator halipwi?
 
Kama unataka kujua Mimi na wewe Nani Ni hopeless jijibu maswali yafuatayo:-

1) unajua gharama ya hizo receiver?
2) Unajua operation cost MTU akiwa safarini mtandao unahisi haulipiwi.. au operator halipwi?

Yale yale ya bongo darisalama:

1. Gharama za receiver zimhusu nini transporter?

2. Kwamba kuna operational cost? What has this to do na transporter?

Kwani transporter amekwambia alihitaji king'amuzi? Kwani king'amuzi chenyewe ni kwa maslahi ya nani?

Yote kwa faida yako na bado wayaleta at inflated prices?

Kwa hakika ni Tanzania tu, kwenye wale ng'ombe wanakoweza kukukubalia kwa kuhofia kunyimwa leseni.

Bure kabisa!
 
Biashara za wakubwa hizo. Kuna njia nyepesi sana na isiyo na gharama yoyote ile ya kuwadhibiti madereva wa mabasi wanaokimbia mwendo wa kasi! Lakini miaka nenda inapuuzwa.

Ilikuwa ni kwa jeshi la polisi kuweka check points chache tu nchini. Na mabasi yote yawe na ratiba maalum ya kufika kwenye hizo check points kwa mwendo ambao utakuwa umefanyiwa utafiti.

Mfano kama basi linalokwenda Mbeya, Iringa, Ifakara, nk linatakiwa kufika Mikumi kuanzia saa 5 asubuhi, basi lifike kuanzia muda huo. Na likiwahi kabla ya hapo, litozwe faini/dereva achukuliwe hatua za kisheria.

Nakumbuka kuna wakati walijaribu kuitumia hii njia, ila kwa bahati mbaya walishindwa kuisimamia kutokana na vitendo vyao vya kuendekeza rushwa.
 
Bila kutumbua hawa wasumbufu serikalini mambo hayawezi kutengemaa. Hii yote ni kosa la hao TRA kusimamia kikamilifu ufanisi na bei za hivi ving'amuzi.

Kutumbua wazembe bila kupepesa macho kuna faida kubwa kwa taifa
 
Back
Top Bottom