Stop( 7)
Stop(7)
Kwangu(8)
Kula jokeri afu nipo kadi nne
Mh,moyo mbaya sana huu
Ila twende na ukweli mkuuKwamba barua ya kuachishwa kazi imetoka leo asubuhi, mchana mshkaji kapanda ndege.... Amekataa kabisa kupoteza mda kwenye hii nchi ya waswahili
Pengine Kocha hakua na mahusiano mazuri na Uongozi.Ila twende na ukweli mkuu
πππππMtani una kau-phaller flan
Akikupa uni tag mkuu
Hawana familia bongo hawa wajuba