Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
- Thread starter
-
- #41
Dah, lazima ubadilike tu!Ukijifanya wa kisure hujichanganyi, mume wako atatoka na Zuwena wa nyumba ya tatu na mtaa mzima utajua kasoro wewe.
Lkn unajua nya unatembea nayo 24/7 mkuu?Hapana aisee unajua mimi choo kikiwa kichafu hata chakula sili vizuri mpaka nizoee hayo mazingira.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado ujaombwa weaving ulosuka ukifumua, ile nguo ulovaa siku ile naomba niendee kwene shughuli shouger ilikupendeza nliipenda mnooUswazi udokozi, leo tu wameniibia simple zangu mchana kweupeee. Niliacha asubuhi ninavyoenda kanisani kurudi jioni hazipoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi, ila huku hakuna vinyesiUnaweza kuzoea mazingira machafu hasa ya vinyesi vya watu mkuu
Hilo halijawahi kunipataBado ujaombwa weaving ulosuka ukifumua, ile nguo ulovaa siku ile naomba niendee kwene shughuli shouger ilikupendeza nliipenda mnoo
Karibu jijini Ma' mkubwa, nipo tayari kuwa mwenyeji wako!!Mgeni na hii mada, wengine sie kwetu mkoani afu ni mashambani huko tumezoea kucheza na ngedere lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa mnakula maandazi nini ndo, buku na chenji inaludi!!?Uswazi sihami ase.. kuna mtaa unaitwa mandazi road mbagala zakhemu ukiwa na buku unakula unashiba na chenji inabaki..
Endeleeni kuishi masaki..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mgeniAlaa kumbe mgeni huko!?tulia basi upate uzoefu!!.
Karibu huku mrembo tubebe box,kwanini upate shida na maisha yenyewe haya ni mafupi?Kero yangu ipo kwenye vyoo tu yaani hakuna kitu huwa kinaniudhi kama choo kuwa ovyo, basi tu sina uwezo ningehama huku uswazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuuKaribu huku mrembo tubebe,kwanini upate shida na maisha yenyewe haya ni mafupi?
Ha ha haaa hapa umemaliza kabisa!Choo cha uswazi kinajengwa kutokana na urefu we mama mwenye nyumba
LA sivyo wengine mchuchumae
Njoo kwa Malkia tubebe box.
Ukute choo cha kuflash, halafu jitu linaingia na MAJI kwenye kikopo, linajisafisha kitobo chake tu hilo linatoka, mwengine akijakuingia anaukuta mzigo juu umetuliaa, lazima haja ikuruke tu, sasa awe ameona Mama Fulani mwenye mdomo mwepesi, hapo atalianzisha kwa mafumbo na matusi ya rejareja, yaani ugomvi kila Leo, mwengine ikipita wiki bila kugombana anaweza kuugua Malaria na hospitali mkampeleka!!Uswahilini watu wanaishi maisha mabovu sana yasiyo na mwisho mzur wala staha,kuchukuliana wake,waume,kusengenyana na kulogana hayo ndyo maisha ya uswazi!
Sent using Jamii Forums mobile app