Utaalamu wa kuchoma ndizi na mishikaki

Utaalamu wa kuchoma ndizi na mishikaki

PutinV

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
1,046
Reaction score
1,643
Salaam wana Jf.

Bila kupoteza wakati naomba kwenda kwenye mada moja kwa moja. Kuna mahali nimepata wazo la kufungua biashara ya kuchoma ndizi na mishkaki, lengo langu ni kutengeneza bidhaa zenye quality na ambazo hazitachokwa na wateja kwa haraka.

Naomba kwa yeyote mwenye utaalamu wa ziada katika kuongeza ubora wa bidhaa tajwa hapo juu, hasa ndizi anishirikishe. Naona kama kuweka ndizi juu ya mkaa tu haitoshi, kuna ufundi wa ziada unahitajika.
 
Zingatia haya unapoenda kuanza biashara yako.

-Location
-Reasonable price
-Good product & service i.e customer care
-Muombe Mungu wako sana akuongoze kwenye biashara yako.
 
Zingatia haya unapoenda kuanza biashara yako.

-Location
-Reasonable price
-Good product & service i.e customer care
-Muombe Mungu wako sana akuongoze kwenye biashara yako.






Let's meet at the top, cheers [emoji1635]
 
Basically anzia hapo pa kuchoma kawaida then unaongeza ubunifu ukimaster kuchoma "kawaida"... Maana hata huko unakokusema kuweka mkaa tuu nako kuna ujuzi flani.

Start with basics before kuwa pro. It is good idea and you'll definitely succeed ukivumilia na kujicommit kwenye hiyo biashara
 
Basically anzia hapo pa kuchoma kawaida then unaongeza ubunifu ukimaster kuchoma "kawaida"... Maana hata huko unakokusema kuweka mkaa tuu nako kuna ujuzi flani. Start with basics before kuwa pro. It is good idea and you'll definitely succeed ukivumilia na kujicommit kwenye hiyo biashara
 
Location inalipa ni karibu na chuo fulani.
Price nimeweka inayoeleweka.
Hapo kwenye good product na service ndio natafuta uzoefu.
God first.
Unaweza kuajiri mtu amabye ana uzoefu wa kuchoma nyama/ mishikaki pamoja na ndizi. Kuna vijana wengi sana wenye ujzui huu hasa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro. Wewe unakuwa supervisor.
 
ndizi za kuchoma hazihitaji ufundi sana zaidi ya mkaa wako tu na utaalam wa kuondoa masinzi
kwenye mishikaki hapo unaweza ongeza barbeque sauce kunogesha ladha zaidi
 
Kuna mishikaki na ndizi vinachomwa mitaa ya upanga karibia na takukuru, na mtaa unaofatia nyuma ya ngome...sijawahi kuona kama ile sijui wanachomaje.
Hadi nimesalivate.
 
Back
Top Bottom