Hii ni mitizamo chanya,na sababu zake za msingi ni kama zifuatazo:-
1.wanapata airtime ya kutosha.
2.watajivunia uzoefu bungeni.
3.ukaribu na wanasiasa wakongwe,
4.ladha ya ubunge[posho]
5.hadhi kati ya mbunge na mfanyakazi
6......................................................
7......................................
Endeleza endapo mawazo yangu unayaafiki, twende pamoja....