Tetesi: Utabiri: Baada ya Bunge kuvunjwa 2020,Nape atahamia ACT-Wazalendo

Tetesi: Utabiri: Baada ya Bunge kuvunjwa 2020,Nape atahamia ACT-Wazalendo

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Ni imani yangu Nape yuko CCM kwa sasa ili tu kulinda ubunge wake na hata mahaba aliyonayo kwa viongozi wa chama chake ni mahaba fake tu ili mradi alinde kibarua chake.

Ukimchunguza Nape utagundua ana imani na sana na chama chake(itikadi ya chama,n.k) ila uongozi uliopo haviivi kutokana na mambo kadhaa na yeye hili analijua.

Hivyo,ni vigimu sana kwa yeye kuendekea kubaki katika chama hiki na hata hapo alipo huenda hana uhakika wa jina lake kupenya mwaka 2020 iwapo atawania ubunge kupitia chama hicho.

Kwa mazingira haya,option pekee atakayokuwanoyo ni kutafuta chama cha upinzani kitakachomdhamini kugombea ubunge mwaka 2020 na hiki si kingine bali ni ACT-Wazalendo na si CHADEMA wala CUF.

Nape, kwa kujiunga ACT,moja kwa moja ataingia katika ushirika wa UKAWA na CHADEMA na CUF watalazimika kumpigia kampeni kama mgombea wa chama kinachounda UKAWA(kama UKAWA itaendelea kuwepo hiyo 2020 au wataunda umoja mpya kwa jina lingine).

Hata hivyo,naomba niwatahadharishe mapema kuwa Nape ndani ya ACT na UKAWA kwa ujumla,atakuwa yuko UKAWA kimwili tu lakini kiroho atakuwa CCM(CCM imemuathiri sana kiimani) na huenda atawayumbisha sana wenzake katika yale watakayokuwa wanakubaliana.

Kwa kifupi,Nape ndani ya ACT na ndani ya UKAWA kwa ujumla,atakuwa hana tofauti Shibuda aliekuwa ndani ya CHADEMA enzi zile.

Time will tell unless mambo yanabadilika na yeye aendelee kubaki ndani ya CCM.
 
Huyu atahama baada ya jina lake kukatwa kwenye kura za maoni ila asipokatwa usitegemee.

Usimuamini sana Nape.
 
Kwa ushahuri ni bora abakli hukohuko asije katika Mkia, hata wakimpiga chini, abaki kuwa mwanachama kamili tu, sio lazima awe kiongozi, then muda wake utakuja tu.
Ila mwisho wa Ubaya Aiubu huyu katutenda mengi sana na haya ndio malipo yake, yeye na mwigulu wanstahili zaidi ya hayo wanayo yapata sasa.
bado makamba Junior!
 
Na hii sheria anayosema ukihama chama uruhusiwi kugombea limekaje au ni Kwa urais tu
 
Tetesi za Kipuuzi kabisa wewe kuzizua. Nape anaifaham ccm vizuri hawezi hama hata siku moja. Wenye akili tunafaham hata tusingeweza anzisha uzi.



Ni imani yangu Nape yuko CCM kwa sasa ili tu kulinda ubunge wake na hata mahaba aliyonayo kwa viongozi wa chama chake ni mahaba fake tu ili mradi alinde kibarua chake.

Ukimchunguza Nape utagundua ana imani na sana na chama chake(itikadi ya chama,n.k) ila uongozi uliopo haviivi kutokana na mambo kadhaa na yeye hili analijua.

Hivyo,ni vigimu sana kwa yeye kuendekea kubaki katika chama hiki na hata hapo alipo huenda hana uhakika wa jina lake kupenya mwaka 2020 iwapo atawania ubunge kupitia chama hicho.

Kwa mazingira haya,option pekee atakayokuwanoyo ni kutafuta chama cha upinzani kitakachomdhamini kugombea ubunge mwaka 2020 na hiki si kingine bali ni ACT-Wazalendo na si CHADEMA wala CUF.

Nape, kwa kujiunga ACT,moja kwa moja ataingia katika ushirika wa UKAWA na CHADEMA na CUF watalazimika kumpigia kampeni kama mgombea wa chama kinachounda UKAWA(kama UKAWA itaendelea kuwepo hiyo 2020 au wataunda umoja mpya kwa jina lingine).

Hata hivyo,naomba niwatahadharishe mapema kuwa Nape ndani ya ACT na UKAWA kwa ujumla,atakuwa yuko UKAWA kimwili tu lakini kiroho atakuwa CCM(CCM imemuathiri sana kiimani) na huenda atawayumbisha sana wenzake katika yale watakayokuwa wanakubaliana.

Kwa kifupi,Nape ndani ya ACT na ndani ya UKAWA kwa ujumla,atakuwa hana tofauti Shibuda aliekuwa ndani ya CHADEMA enzi zile.

Time will tell unless mambo yanabadilika na yeye aendelee kubaki ndani ya CCM.
 
Kama chama wakimkata ndo atahama,,ila ccm kikimpitisha ahami,,
 
Nappe nje ya ccm sawa na Samaki nchi Kavu
 
Na hii sheria anayosema ukihama chama uruhusiwi kugombea limekaje au ni Kwa urais tu
Huu utabiri ulikuwa sahihi lakini watawala wamekaba penati. Kwa sasa watafanya wanavyotaka maana hata ukihama chama hugombei 2020. Nadhani sasa somo kuhusu demokrasia Tanzania linaeleweka.
 
Unadanganywa mara moja tu. HATOKI MTU TOKA CCM KUJA UPINZANI NA KUPEWA NAFASI YA KUGOMBEA, UDIWANI, UBUNGE HATA URAIS.

Yaliyopita 2015 ni funzo tosha. Wapinzani msihadaike, wakija wapokeeni na wawekeni benchi. Waanze ukuruta.
 
Nape ni binadamu na ana haki ya kukasirika
Hivi unajuwa kwa undani kazi aliyofanya Mwaka 2015 - alikiwezesha CCM kushinda halafu wakati wa kugawana madaraka akaondolewa kama unavyoweza kuondoa Mkafrend au Mayalla?

Hata hivyo ni mvumilivu kama ningekuwa mimi huenda ningefanya maamuzi mazito zaidi
 
Hana madhara tena, sawa na nyoka wa kibisa ukitaka unamweka mdomoni au kwenye suruali. Tunaomfahamu mpaka sasa ni mwanachama wa vyama 2 CCM na CCJ!
 
Back
Top Bottom