Una njaa wewe, kale bamia kwanza huenda ukapata ndoto nzuri.Japo ni Mimi ni mchambuzi mashuhuli hapa mjini JF.....lakini pia ni mtabiri maarufu wa mechi ...since sijawahi kosea
Utabiri wangu
Leo mchana nilikuwa nimejiegesha hapa kazini ghafla nimeota ndoto saa 21: 00 naskia makelele ya watu wanaimba hatumtaki mangungu.....
Hatumtaki mwamedi..... hatumtaki jaribu Tena ....ila nimeshidwa kujua ..... what really happened
Nb: Guess.....itakuwa Nini kimetokea ??
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wewe na UNIQUE FLOWER ni ndugu?Japo ni Mimi ni mchambuzi mashuhuli hapa mjini JF.....lakini pia ni mtabiri maarufu wa mechi ...since sijawahi kosea
Utabiri wangu
Leo mchana nilikuwa nimejiegesha hapa kazini ghafla nimeota ndoto saa 21: 00 naskia makelele ya watu wanaimba hatumtaki mangungu.....
Hatumtaki mwamedi..... hatumtaki jaribu Tena ....ila nimeshidwa kujua ..... what really happened
Nb: Guess.....itakuwa Nini kimetokea ??
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Honestly natamani sana hili litokee, ila sidhani kama itawezekana.Japo ni Mimi ni mchambuzi mashuhuli hapa mjini JF.....lakini pia ni mtabiri maarufu wa mechi ...since sijawahi kosea
Utabiri wangu
Leo mchana nilikuwa nimejiegesha hapa kazini ghafla nimeota ndoto saa 21: 00 naskia makelele ya watu wanaimba hatumtaki mangungu.....
Hatumtaki mwamedi..... hatumtaki jaribu Tena ....ila nimeshidwa kujua ..... what really happened
Nb: Guess.....itakuwa Nini kimetokea ??
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Bamia zile za kuteleza??Una njaa wewe, kale bamia kwanza huenda ukapata ndoto nzuri.
Ndo hivyo mkuu tujiandae[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mbonaa fresh tu
Ila wanasema zinakuwaga za ukweliMakinika ndoto za mchana sio dalili njema kwa afya ya akili
Kabisa mkuu....ndicho kinachosubiriwagalaxy wameapa hawatatoka wenyewe. lazima watoke mtu.
Hapana mkuu...ata simjuiWewe na UNIQUE FLOWER ni ndugu?
Kasema pale ukoloni hang'oki hata Kwa trektamangungu anasemaje
Amini.... makolo lazima watokeHonestly natamani sana hili litokee, ila sidhani kama itawezekana.
Ila likitokea hakika itakuwa siku yangu bora kabisa kwa mwaka huu
Japo ni Moja Kati ya matajiri hapa TZ ...ila Napenda kutumia Tecno....sababu Zina tunza sana chajiMtabiri nja kali unatumia tecno
Try againmangungu anasemaje