Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Yaani Real Madrid waamue "sasa tunalitaka hili kombe" kuna kenge yoyote atakatiza mbele?Pep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.
Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1
Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.
Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.
Acha shobo ulikua wapi tangu mwanzo mwa msimu? Na ww uko shamba unajifanya mchambuzi kumbe mchambua mboga tu
Madrid msimu huu hayuko vizurReal Madrid wachovu
Kujua mpira ukubwani bana
Madrid msimu huu hayuko vizur
huoni yale maajabu kwa cityMsmu wa 2022 alikuwa vizur au
Real madrid ya bamakoPep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.
Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1
Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.
Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.
Watu kwa kukariri maisha hamjambo. Kwahiyo jamaa hawajawahi kupoteza fainali tangu club hiyo ilipoanzishwa?Yaani Real Madrid waamue "sasa tunalitaka hili kombe" kuna kenge yoyote atakatiza mbele?
Nakazia na hao wote waliokutusi watakuja kuona aibuPep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.
Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1
Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.
Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.
Hivi mashabiki wa madrid si ndio mashabiki wa barcelona au??Hivi mashabiki wa man city si ndio mashabiki wa ASENO au????
NikumbusheWatu kwa kukariri maisha hamjambo. Kwahiyo jamaa hawajawahi kupoteza fainali tangu club hiyo ilipoanzishwa?
1963/1964 na 1980/1981.Nikumbushe