UTABIRI: Kocha wa Yanga, Nabi atafutwa kazi baada ya mechi ya marudiano Tunisia

Kinumbo

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
3,039
Reaction score
5,560
Kwa soka la Bongo linavyo endeshwa kwa kelele za mashabiki huyo kocha baada ya hiyo game hatoboi nakwambia.

Kule Tunisia lazima Yanga achezee kichapo tena kuanzia goli 3 na kuendelea, yaani baada ya hapo anafutwa kazi moja kwa moja hiyo haina mbambambaa.

Nacho mshauri huyo kocha akiona amepoteza bora abaki huko huko kwako, barua ya kufutwa kazi itamkuta huko huko.

Sina udini wa Usimba na Uyanga mimi bali huo ndio ukweli, uzi tayari.
 
Kwa soka la Bongo linavyo endeshwa kwa kelele za mashabiki huyo kocha baada ya hiyo game hatoboi nakwambia...
Imeandikwa manabii wa uongo watatokea ........yanga atakama apoteze kibarua kipo tu
 
Ilitakiwa afutwe kabla timu haijaenda Tunisia
Kwaiyo mkisha mfukuza Nabi katikati ya Msimu uyo anayekuja Malengo yatakua ni yepi? Maana Kwa Ligi ya Ndani Kwa timu iliyopo Ubingwa Yanga ataendelea kuchukua[emoji1][emoji1]
 
Watu wasiyojua mpira wanapo pewa nafasi ya kuendesha soka

Ova
 
Kwaiyo mkisha mfukuza Nabi katikati ya Msimu uyo anayekuja Malengo yatakua ni yepi? Maana Kwa Ligi ya Ndani Kwa timu iliyopo Ubingwa Yanga ataendelea kuchukua[emoji1][emoji1]
Nabi amekiuka makubaliano yaliyopo ndani ya mkataba wetu. Nilimpa support Kwa kumsajilia Kila mchezaji aliyemtaka. Nulifanya hivyo Ili kuondoa malalamiko na kutafuta visingizio.

Nikamkumbusha Nabi akasema nafahamu makubaliano yetu na akanihakikishia kuwa Kila kitu Kiko sawa. Ungekuwa wewe ungefanyaje?

Kwa mbinu zake ameshafungua uchochoro Kwa wapinzani wetu. Ni dhahiri Sasa hivi Nabi anasafa kutafuta matokeo ndani ya dakika 90 hata tukicheza na Ihefu.

Umefika muda wa kuangalia changamoto mpya pande zote mbili,sisi na yeye.
 
Kwasababu Tunisia ndo kwao aende kabisa na kibegi chake.kule hatoki hata wale jamaa wakicheza pungufu.
 

Ngoja wakushukie wala mihogo
 
Sawa mheshimiwa rais wa Club. Tumekupata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maskiniiiii wee umepoaa hadi kuandika unatetemeka, poleeeeh
 
Kwaiyo mkisha mfukuza Nabi katikati ya Msimu uyo anayekuja Malengo yatakua ni yepi? Maana Kwa Ligi ya Ndani Kwa timu iliyopo Ubingwa Yanga ataendelea kuchukua[emoji1][emoji1]
Ubingwa wa Bahasha kwa marefa,mkikutana na marefa watenda Haki mnaloa UHARO mpaka matakoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…