Utabiri kuhusu mechi ya USM Alger na Yanga

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
Kuhusu mechi ya USM Alger na Yanga ni kwamba Yanga atashinda ila kuna mchezaji muhimu ataumia. Kuumia kwa mchezaji huyo kutaiathiri timu na hivyo kuna shaka timu kushindwa kupata matokeo ya kupindua meza.
 
Kuna Kila DALILI Yale ya 2018 yakajotudia.


Usiwape Moyo kabisa mashabiki WA Yanga.


4-0.
 
Mvua hizi ZA hapa Dar es salaam ni za Simba.

Na Simba ni mzuri jumapili muda alioumba Mungu MECHI NI JUMAPILI.

ILq shetani anasema ni jumamosi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…