Utabiri: Mange Kimambi kuomba msamaha na kurejea CCM!

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,425
Reaction score
4,768
Huu ni utabiri ambao bila shaka utatimia kama sio hivi karibuni basi ni katika muda muhimu wa majeruhi ambao utawaacha watu midomo wazi na kuipa CCM sifa ya chama chenye stratejia za kuigwa barani Afrika na duniani.
 
Haya ccm wasajiri mange kimambi... Ndio furaha yenu
 
Mh! Kutoa rushwa kununua wachumia tumbo wasio na msimamo ambao wanahaha huku na kule kutafuta shibe ni strategy ya kuigwa barani Afrika!? Bado tuna safari ndefu sana.

Huu ni utabiri ambao bila shaka utatimia kama sio hivi karibuni basi ni katika muda muhimu wa majeruhi ambao utawaacha watu midomo wazi na kuipa CCM sifa ya chama chenye stratejia za kuigwa barani Afrika na duniani.
 
Mh! Kutoa rushwa kununua wachumia tumbo wasio na msimamo ambao wanahaha huku na kule kutafuta shibe ni strategy ya kuigwa barani Afrika!? Bado tuna safari ndefu sana.
Wachumia tumbo walipoingia na kuitetea Chadema mlisemaje?
 
Huu ni utabiri ambao bila shaka utatimia kama sio hivi karibuni basi ni katika muda muhimu wa majeruhi ambao utawaacha watu midomo wazi na kuipa CCM sifa ya chama chenye stratejia za kuigwa barani Afrika na duniani.
Mnafikiri mtamtishia kumvunjia nyumba kama wema? hahahaha hapo mmenoa wakamteni hawa mamburura waliopo hapa kwa kuwabambikia keshi na kuwasakizia TRA
 
Atawasaidia nini uyo kimambi ,nyie mnaona kununua wapinzani ndoo mbinu za kuuwa upinzani,watanzania wa sasa si wa kale
 
Mange Kimambi karibuni kuwa multi milionea baada ya kufungua app yake, as long as yuko nje ya nchi, anafaidika zaidi kwa sasa kama alivyo kuliko akiwa open CCM mouth piece!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…