Utabiri mechi za leo,Man utd,Genk,Schalke,Besiktas

Umeona wenzio wanatabir wanapatia, wewe umeona wanafaidi haya , umeanzisha na wewe uzi bila kuwa na elimu ya kutosha kuhusu unajimu na ubashiri.

SIKU NYINGINE MSIPENDE MISIFA YA KIJINGA
Mkuu si afadhali yeye amejaribu.wewe unayejua umesaidia nini?
 
Imekuja tofauti na mtazamo niliojiwekea awsali,, lazma ugafilike kidogo kwakwel
Ndio hivyo mkuu.Mimi mwaka Jana nililiwa 150,000.kwa mpigo.niliweka west brom ashinde akadroo na Watford. Hapo hapo nilimpa MTU Anitabirie.Norwich akashinda.huyo west brom akadroo.sikumaind ndo utabiri huo
 
Yani nimeboeka apa, nikajua ni yule anayebashili na kupatia kilasiku, kumbe huyu kavamia tu
Huyu kavamia kutafuta umaarufu

Asijue kuna kanuni za nyota na miez na mambo mengi ya kuangalia apart na namba
 
Jiunge na group la whatsap la betting lenye members zaidi ya watu 130 upate mikeka ya uhakika na ushauri mzuri kuhusu mechi na company za betting. Kujiunga ni bure na ushauri na mikeka yote ni bure. Linki iyo hapo chini.<br /><br /><br /><br />Betting only
 
Huyu kavamia kutafuta umaarufu

Asijue kuna kanuni za nyota na miez na mambo mengi ya kuangalia apart na namba
Inaonekana unaufaham na haya mambo, tufanyie mpango baso j\mos (kesho) ata mechi tatu tu tupunguze hasars zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…