Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Mechi za marudiano ya michuano ya CAFCL na CAFCC ni week ijayo tu ambapo Simba SC na Yanga kwa pamoja zitazitupa karata zao za mwisho kuwania nafasi za kuingia hatua ya makundi, katika hiyo michezo Simba SC kwa kiasi fulani wanayo matumaini huku Yanga SC ikionekana kuwa na mlima mrefu sana.
Fikiria Yanga iende Sudan ikapokee kipigo kizito kutoka kwa Al Hilal itoke kwenye michuano ya CAFCL, kisha wiki moja baadae ikutane na Simba Sc iliyotinga hatua ya makundi ifungwe na kupoteze huo mchezo. Amini nawaambieni kutatokea mvurugano mkubwa ambao hamjawahi kuushudia kwenye hiyo club, yani hapatakalika kabisa.
Mtasikia mengi sana ikiwa ni pamoja na kutaka professa wao afutwe kazi (hasa wakitolewa hata hilo shirikisho), watakumbuka na kulaumu ya Hersi kupita bila kupingwa, usajili Aziz Ki, Kambole, Lomalisa, Bigirimana utajadiliwa upya na kuonekana ni wa kijinga ingawa kwasasa hawataki kukubali kuwa walipuyanga n.k.
NB: Hayo niliyoeleza hapo juu nayaona yakienda kutokea, vuteni viti mkae mkao wa kusubiria.
Fikiria Yanga iende Sudan ikapokee kipigo kizito kutoka kwa Al Hilal itoke kwenye michuano ya CAFCL, kisha wiki moja baadae ikutane na Simba Sc iliyotinga hatua ya makundi ifungwe na kupoteze huo mchezo. Amini nawaambieni kutatokea mvurugano mkubwa ambao hamjawahi kuushudia kwenye hiyo club, yani hapatakalika kabisa.
Mtasikia mengi sana ikiwa ni pamoja na kutaka professa wao afutwe kazi (hasa wakitolewa hata hilo shirikisho), watakumbuka na kulaumu ya Hersi kupita bila kupingwa, usajili Aziz Ki, Kambole, Lomalisa, Bigirimana utajadiliwa upya na kuonekana ni wa kijinga ingawa kwasasa hawataki kukubali kuwa walipuyanga n.k.
NB: Hayo niliyoeleza hapo juu nayaona yakienda kutokea, vuteni viti mkae mkao wa kusubiria.