gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,048
Yes hicho nacho kinachangiaNdo sabab za kuachwa?
Wewe unaiona?? Nazani tumetofautiana viwango vya kujua mambo wengine tuko curious tukitaka kujua kitu tunachimbua mpaka mizizi..so I can't argue..na nilishasema tusitupiane mawe
huyu anae muoa wamekutana utotoni?
Wamekutana ukubwani ndio maana nikisikia hata kesho wameachana siwezi kushangaa wala kuhoji chochote.
Wamekutana ukubwani ndio maana nikisikia hata kesho wameachana siwezi kushangaa wala kuhoji chochote.
uhoji kwani wewe mshenga?
Kwani huyo wasasa kaanza naye utotoni?Mnamlaumu bure labda wengi wenu bado hamjakua.
Kuishi nyumba moja na mtu uliyekutana naye ukubwani sio kitu kidogo.
Huyu mdada ana matatizo, kuachana juzi tu hapa leo keshapata mwingine?
Inaonekana alikua nae kitambo!
Kibiblia amefanya kosa kubwa, na jambo lingine ni kwamba Mungu hashindwi, kama angesimama na Mungu nina hakika angeshinda ila kwa kuwa amechagua upande wa kushindwa matokeo yake ndio hayo.
Na huyo aliyefungisha hiyo ndoa nae anahesabika yu mwenye hatia pamoja nao wote waliomuunga mkono.
Kumbe alimpakazia au alimtengenezea Mbasha kesi ya ubakaji ili apate sababu ya kuondoka?
Mungu hadhihakiwi kwa kiasi hicho! Atavuna alichopanda.
Hakuna mtu anaemhukumu mtu, bali matendo ya mtu ndiyo yanayomhukumu.Hiko kitabu (Bible) unachokitumia kama reference yako ya kuhukumu kimekukataza usihukumu.
Kwa namna ulivyoji-Contradict kwenye hili povu lako, ina maana huna unalolijua.
Hakuna mtu anaemhukumu mtu, bali matendo ya mtu ndiyo yanayomhukumu.
Ukikamatwa unaiba hakuna jina jingine utakalopewa zaidi ya kuitwa mwizi!
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Wote wachangiaji someni aya hiyo katika biblia na kuitafakari.ndio mtakuwa na nafasi nzuri ya kuchangia.Mathayo 5
31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;
32 lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.
Amina
😀Waimba kwaya wa kike uwa wanawashwa sana chini ni hatari sijui nikwasababu ya misuguano mapajani wakati wa kuimba kwaya???
Fulola mbashaNaomba kuuliza
Hivi ni Frola au Flora?