kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,977
Huyu wa sasa wamekutana udogoni?Mnamlaumu bure labda wengi wenu bado hamjakua.
Kuishi nyumba moja na mtu uliyekutana naye ukubwani sio kitu kidogo.
Na wakitaka kuachana wacha waachane tu hakuna namna maana sasa tumechokaWaache waoane....
Umeshamrekebishia yeye a like tuGuzman rekebisha kwanza kiswahili chako;Sio Frola ni Flora,sio taraka ni talaka na sio mmewe bali ni mumewe.
Sasa ukitaka kurekebisha kiswahili cha dereva wa lori Katerero Sijaribiwi utachoka maana akitamka maneno matano manne anakoseaGuzman rekebisha kwanza kiswahili chako;Sio Frola ni Flora,sio taraka ni talaka na sio mmewe bali ni mumewe.
Huyo mc lazima atapoteza wateja. Hii ndio tabu ya watanzania kudakia bila kufikiria kazi zao pia.
Nisije kusikia popote mtu anamtaja kutaka kumpa kazi, lazima nitaizima pwaaaaaa.
Huyo Florah anapenda sana kugegedwa na mitarimbo tofauti tofauti ndo maana anahangaika aionje mingiWewe ua
Wewe uamuzi wake unakuhusu nini? Ulitaka uolewe wewe?
Nimepoteza kama wewe ulivopoteza.Mav.i weweUlitaka nitabiri lini utapoteza malinda wakati ushapoteza..kaa kimya
Wee kama nani? Wee Mungu kwamba utamzimia riziki? Mafanikio ya mtu Mungu huwa anapanga mwenyewe,, hata uruke uruke Mungu akiamua kumuinua mtu atamuinua tu.
Acheni kujiona miungu watu,, eti nitaizima paaa,, wee ndo unayempa pumzi?😡😡
Mkuu usisome biblia Kwa kurukarukaMathayo 5
31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;
32 lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.
Amina