Utabiri: Simba kubeba taji la Kombe la Shirikisho barani Afrika 2021/22

Kwenye timu zote 16 unaleta timu moja tu ndio ujue ni jinsi gani ilivyo ngumu kufanya hivyo na ndio maana unaona pamoja na dharau zako zote kwa simba ila ndio timu pekee kundi D kupata point ugenini sio Asec Mimosas wala Barkane
Ume badili gia ulisema hakuna team iliyo pata point ugenini nmekuonyesha jamaa wametwanga mtu sita unageuza mkia
 
Orlando Pirates, Pyramids,Berkana,Tp Mazdmbe,Al Masry, sawa mchambuzi mtachukua Ubingwa.
Simba wanaweza kuteswa na TP Mazembe pekee kwenye michuano hii wakiwa sawa kwa kila idara.

Ila mechi ya Berkane ilituexpose weakness zetu kwenye aerial balls na set pieces ikiwemo kuwa na squad ambayo kama wachezaji wako wawili tu wakipata shida the whole squad inakuwa in shambles.
 
sawa mtabeba ubingwa, tuko tunalisubiri ilo kombe
 
KAKA UMEWAONA VIGOGO LAKINI? MAZEMBE, ORLANDO PIRATES,AL MASRY, PYRAMIDS,AL ITTIHAD?
 
Ndoo atayobeba yanga ina thamani kuliko ile ya kutinga robo fainali kombe la shirikisho Afrika?
 
Ile Kauli ya yule Mtaalam wa Afya ya Akili aliyosema kuwa kwa sasa Wagonjwa wa Akili na Vichaa ( Psychopath Case ) inaongezeka kwa Kasi nchini Tanzania hata Mimi kupitia Uzi huu ( Mada hii ) naanza Kumuelewa na Kuiamini 100% pia.
 
Ile Kauli ya yule Mtaalam wa Afya ya Akili aliyosema kuwa kwa sasa Wagonjwa wa Akili na Vichaa ( Psychopath Case ) inaongezeka kwa Kasi nchini Tanzania hata Mimi kupitia Uzi huu ( Mada hii ) naanza Kumuelewa na Kuiamini 100% pia.
Mbona sikuelewi tena mkuu

Wewe ni shabiki wa simba kweli?
 
Ile Kauli ya yule Mtaalam wa Afya ya Akili aliyosema kuwa kwa sasa Wagonjwa wa Akili na Vichaa ( Psychopath Case ) inaongezeka kwa Kasi nchini Tanzania hata Mimi kupitia Uzi huu ( Mada hii ) naanza Kumuelewa na Kuiamini 100% pia.
We dogo shida yako ni kujifanya unajua kila kitu, nadhani ufukara unakutesa.
 
We dogo shida yako ni kujifanya unajua kila kitu, nadhani ufukara unakutesa.
Majibu yako....

1. Kuhusu kujifanya Kwangu kuwa najua Mambo nengi au nina Akili tafadhali peleka upesi Malalamiko yako kwa Mwenyezi Mungu ya kwanini amenibariki Mimi hivi na Wewe akakuacha na huo Upumbavu, Wivu na Chuki dhidi yangu.

2. Kuhusu Mimi kuwa Fukara ( Masikini ) nakukubalia tena kwa 100% na wala hujakosea. Yawezekana Wewe ni Mgeni nami hapa Jamiiforums kwani mara kwa mara nimeshaweka wazi kuwa Mimi GENTAMYCINE ni Mtu Masikini kuliko Members wote hapa na wala sina mbele wala nyuma japo bado naendelea Kupambana na sijakata Tamaa nikiamini kuwa Siku moja isiyo na Jina Mungu huyo huyo aliyekupa Wewe Utajiri mpaka Unatudharau wengine kwa Kutuita Mafukara ndiyo huyo huyo atanibariki Mimi kwa Utajiri na mara zote nimekuwa nikisema kuwa nikibarikiwa huo Utajiri basi nataka niwe nasaidia Watu mbalimbali wenye Shida, Dhiki na Matatizo kwani hata Mimi nimeyapitia na ninayaishi kwa sasa hayo Maisha.

Mwisho nakuacha na hili Swali Kwako na kwa niaba ya Wapumbavu Wenzako wote hapa kuwa hivi baada ya kujua Mimi GENTAMYCINE najifanya Nina Akili, nataka Sifa na mkinituhumu na Mambo mengine kibao tu ni kwanini bado mnaendelea Kusoma Mada zangu Kutwa mnapo Log In tu hapa Jamiiforums? Kwani Members ambao mnawapenda na wanaandika yale muyatakayo hawapo au wameisha? Huwa nawalazimisha mnisome na mnifuatilie 24/7 hapa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE kudadadeki.
 
Mbona sikuelewi tena mkuu

Wewe ni shabiki wa simba kweli?
Kwahiyo uthibitisho wangu Kwako wa Mimi kuwa mwana Simba SC ni kuwa Mnafiki kama Wewe ( Nyie ) na Kusifia Upuuzi na kuwa Wapumbavu kama mlivyo wengi Wenu?
 
Kazi ya kipa ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…