DINHO
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 880
- 1,750
Imenichukua mwezi mmoja kufanya analysis juu ya hii game, nimeangalia game karibu 10 za kila timu na katika hizo karibu game 5 nilienda uwanjani kushuhudia tactics za timu zote mbili.
Game ya 05/11 ni moja ya game ngumu kwa mwonekano wa nje, ila kwa namna nilivyoziangalia hizo timu zote, 75% Yanga ataibuka na ushindi wa si chini ya Magoli 4 kwanini nasema hivi shuka chini;
1. UKUTA/MABEKI
Timu zote mbili msimu huu ziliimarisha safu yake ya ulinzi, lkn safu ya Yanga iko imara zaidi, kwani katika game za 11 alizocheza za kimashindano ameruhusu magoli 5 tu, wakati Simba imeruhusu magoli 11.
Udhaifu wao
YANGA udhaifu mkubwa upo kati hasa akicheza MWAMNYETO na hapa Simba wakimtumia vizuri NTIBAZANKIZA wanaweza kupata bao au hata Penati. Pia upande wa kushoto LOMALISA sio mtu kazi ni mtu Smart hivyo akipata mtu kazi kama KIBU game itakuwa ngumu mno wa upande huo wa kushoto.
SIMBA hawa wana udhaifu mkubwa zaidi katika safu yao ya beki, uwe Pembeni au kati, pande zote zinapitika kirahisi na hasa ikitokea wao wametangulia kufunga. KAPOMBE, ZIMBWE wamechoka tayari kutokana na kutumika kwa muda mrefu, CHEMALONE na INONGA wanacheza show game ambazo zinahatarisha sana ulinzi wao. Mf. Game na Al Ahly kama sio uzembe wa washambuliaji wa Al Alhy basi Simba walipaswa kufungwa si chini ya magoli 5.
USHAMBULIAJI
YANGA wanaonekana wana safu nzuri zaidi ya Ushambuliaji ukilinganisha na Simba kwana hadi game 11 za mashindano walizocheza tayari wamefunga magoli 30. Wakati wenzao SIMBA wako na magoli 22 katika game 10.
Angalizo:
Simba wanatakiwa kucheza kwa mfumo wa Counter attack ili kuwamudu Yanga, na tofauti na hapo kilio kitakuwa kizito kwa SIMBA.
Yanga wanatakiwa kuangalia safu ya beki kama kuna uwezekano waanze JOB na BACCA ili kupunguza risk za faulo ambazo hazina maana.
NB: Uchawi upo na unafanya kazi, ila kwa uhalisia wa vikosi na kwa jinsi wanavyocheza natabiri matokeo kuwa SIMBA 1-3 YANGA
Game ya 05/11 ni moja ya game ngumu kwa mwonekano wa nje, ila kwa namna nilivyoziangalia hizo timu zote, 75% Yanga ataibuka na ushindi wa si chini ya Magoli 4 kwanini nasema hivi shuka chini;
1. UKUTA/MABEKI
Timu zote mbili msimu huu ziliimarisha safu yake ya ulinzi, lkn safu ya Yanga iko imara zaidi, kwani katika game za 11 alizocheza za kimashindano ameruhusu magoli 5 tu, wakati Simba imeruhusu magoli 11.
Udhaifu wao
YANGA udhaifu mkubwa upo kati hasa akicheza MWAMNYETO na hapa Simba wakimtumia vizuri NTIBAZANKIZA wanaweza kupata bao au hata Penati. Pia upande wa kushoto LOMALISA sio mtu kazi ni mtu Smart hivyo akipata mtu kazi kama KIBU game itakuwa ngumu mno wa upande huo wa kushoto.
SIMBA hawa wana udhaifu mkubwa zaidi katika safu yao ya beki, uwe Pembeni au kati, pande zote zinapitika kirahisi na hasa ikitokea wao wametangulia kufunga. KAPOMBE, ZIMBWE wamechoka tayari kutokana na kutumika kwa muda mrefu, CHEMALONE na INONGA wanacheza show game ambazo zinahatarisha sana ulinzi wao. Mf. Game na Al Ahly kama sio uzembe wa washambuliaji wa Al Alhy basi Simba walipaswa kufungwa si chini ya magoli 5.
USHAMBULIAJI
YANGA wanaonekana wana safu nzuri zaidi ya Ushambuliaji ukilinganisha na Simba kwana hadi game 11 za mashindano walizocheza tayari wamefunga magoli 30. Wakati wenzao SIMBA wako na magoli 22 katika game 10.
Angalizo:
Simba wanatakiwa kucheza kwa mfumo wa Counter attack ili kuwamudu Yanga, na tofauti na hapo kilio kitakuwa kizito kwa SIMBA.
Yanga wanatakiwa kuangalia safu ya beki kama kuna uwezekano waanze JOB na BACCA ili kupunguza risk za faulo ambazo hazina maana.
NB: Uchawi upo na unafanya kazi, ila kwa uhalisia wa vikosi na kwa jinsi wanavyocheza natabiri matokeo kuwa SIMBA 1-3 YANGA