Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli Spurs bingwa mpya UEFA... Nami naamini hiloNi hatari sana kuota unakojoa
Acha kuota kwa usalama wako
Japo ulichoandika naombea kitokee kweli
Utakakiwa koo uahindwe hata kutema mate wakati huo ushatunguliwa goli na dakika zinayoyoma!!Kumbukeni Liver tuna hasira yaan hasira zote zitakwenda kwa spurs huyu kama hatujamtia 5 mtungi sijui
Ni kweli Spurs bingwa mpya UEFA... Nami naamini hilo
Joana Utakuwa Shabiki Wa :Ni hatari sana kuota unakojoa
Acha kuota kwa usalama wako
Japo ulichoandika naombea kitokee kweli
Kwanini Msilale? Au Mnaogopa Kupigwa Tano Na Liverpool...Naomba isiwe hivyo maana sie Asenali hatutalala.
Tottenham Hotspurs Yuko Vizuri Si Wa Kumbeza Hata Kidogo Ila Hana Uzoefu Ndio Kitu Kinamgharimu. Unajua Liverpool Alikaa Sana Bila Kucheza Hiyo Michezo Ndio Maana Akaliwa 'Kiboga' Na Real Madrid Msimu Ulopita? Japo Wachezaji Wake Walikuwa Onfire Tofauti Na Msimu Huu? Japo Vile Vile Naamini 'Kuumizwa' Kwa Mo Sarah Kulichangia Sana Hata Kama Hawakuwa Na Uzoefu...Hivi Spurs nusu final angepangiwa na Barcelona ...... ingekuwaje ...kwa mawazo yako ...