Utabiri: UEFA Champions League Final itakuwa Chelsea 0-3 Man City

Fainali isiyo na ladha, Chelsea anaenda kuvunja rekodi ya Simba kwa kaizer chiefs anadhalilishwa 5-0
 
Hii mechi siyo ya kutabiri,litimu la Chelsea nalo halieleweki isije kutokea ya Bayer Munich...
 
Crystal Palace waliifunga Chelsea 4-1
 
Crystal Palace waliifunga Chelsea 4-1
Hapa sijaelewa kwakua nimesema ushindi wa Chelsea ni magoli 2 ila wamefungwa mpaka goli 5. Na umesema Palace waliifunga Chelsea 4 so nipo sahihi?
 
Game itapigwa siku ya jumamosi tarehe 29/05/2021 ndani ya dimba la Estadio Do Dragao ndani ya nchi Ureno.

Tupia utabiri wako hapa.

Utabiri wangu.

Chelsea 0 vs Man City 3

Either Players to Score.

1. Riyad Mahrez
2. Reuben Diaz

Hapo vipi?
Mwenzako nalia huku, nimeweka rehani nyumba, mke, watoto na shamba na vyote vilivyomo, Hadi kuku, Bata na njiwa🕊️
 
Mwenzako nalia huku, nimeweka rehani nyumba, mke, watoto na shamba na vyote vilivyomo, Hadi kuku, Bata na njiwa🕊️
Dah!!! Kwahiyo wanaenda wote kwa mwakachukua wa Tukuyu mkuu
 
Hapa sijaelewa kwakua nimesema ushindi wa Chelsea ni magoli 2 ila wamefungwa mpaka goli 5. Na umesema Palace waliifunga Chelsea 4 so nipo sahihi?
Ndivyo ulivyotaka kusikia wewe
 
Game itapigwa siku ya jumamosi tarehe 29/05/2021 ndani ya dimba la Estadio Do Dragao ndani ya nchi Ureno.

Tupia utabiri wako hapa.

Utabiri wangu.

Chelsea 0 vs Man City 3

Either Players to Score.

1. Riyad Mahrez
2. Reuben Diaz

Hapo vipi?
Utabiri umekua mchungu naona! Vipi lakini mkuu unaendeleaje huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…