UTABIRI: UEFA ni Chelsea FC vs Man City na EUROPA ni Arsenal vs Man United

UTABIRI: UEFA ni Chelsea FC vs Man City na EUROPA ni Arsenal vs Man United

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Kama kichwa cha habari kinavyosema mwaka Huu itawakutanisha team za Uingereza fainal kuanzia Uefa mpaka Europa make it in your mind.
 
Sio man city vs madrid
Kwa man u vs villareal
!????????????????!?!?!?
 
Mtabiri uchwara tu! Ulishindwa kutabiri tangu 16 bora? Unakuja kutabiri wakati timu zishatinga tayari fainal?
 
Chelsea leo bado ana kazi ngumu, hiyo game itaamuliwa kwa tofauti ndogo sana ya magoli, atakayefanya kosa ndio ataadhibiwa game itakuwa tight sana, kwa Arsenal siwapi nafasi sana kwa Villareal, wahispaniola kupata goli Emirates wanaweza kabisa.
 
2mbaf kweli hili jamaa! Eti linatabiri wakat timu zishaingia fainal! Haya ndo yanaulizaga nitimu gani inayoogopeka zaidi kwasasa hapa afrika kwangazi vilabu? Wakat linajua kabisa kwamba ni
Simba
Wanalunyas
Taifa kubwa
Wazee wakidedea
Wazee wa pira bryan
Kulitaka mwana kulipata
Timu inayosakata kabumbu kwaviwango vilivyothibitishwa na shirikisho la kabumbu ulimwenguni FIFA!
wacha janjajanja ewe siyo mtabiri!
 
Ewe mwanamalundi, mtabiri uchwara, njoo henye uzi wako tafadhale,
 
Back
Top Bottom