Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao siku hizi hawana jipya,labda wafike fainali tuBrazil wanalibeba tena kombe lao
sidhani watu wa kazi kazi hawapo waliopo mpira na maishaBrazil wanalibeba tena kombe lao
Wewe wasemaHao siku hizi hawana jipya,labda wafike fainali tu
Naona watafika mbaliArgentina chini ya LIONEL MESSI wanachukua hili kombe.
Hii timu Karibia kila WC inasemwa inachukua ila wapi.Argentina chini ya LIONEL MESSI wanachukua hili kombe.
Mbona BraZiL hajawahi kuishia group stage mara zote alizochukua?Historia inaonyesha mabingwa wote wa kombe la dunia huwa wanaishia group stage kwenye world mara wanapojaribu kutetea mataji yao hakuna aliyevuka hapo.
Ufaransa anaenda kumaliza akiwa wa mwisho kwenye kundi lakeDah bila ya Benzema mambo yatakua ni magumu sana