Juventus na Real Madrid wanahitimisha msimu wa Uefa wa 2016/ 2017. Juventus huwa wanatumia kifupisho cha Juve na Real Madrid wanatumia RM . Ubashiri unaonyesha ndani ya dk 90 itaisha draw na mshindi atapatikana ndani ya dk 120.
JU = 10 +21 +3= 34
RM = 18+ 13+ 3 = 34..
Game saa ngapKama Juventus wanatumia kifupisho cha "juve" as per your your knowledge, kwenye hesabu mbona umeweka JU na sio JUVE? Anyway, I never trust utabiri kwenye soka or anything for that matter. Waliosema "mpira unadunda, so anything can happen" walikuwa na akili sana
Saa tatu na dakika 45 usikuGame saa ngap
NashukuruSaa tatu na dakika 45 usiku
Kukaa kimya Mpaka mechi iishe ndio busara na uelewa hizo kelele ni mbwembwe zisizo na maana binafsi huwa siongei chochote Mpaka mpira uisheKwa sasa Kuna Watu Hawaongei ila Baada Ya Dk 90 utaona Uzi Umejaa fasta
Ahahahahaha alafu utasikia wanasema "nilijua tu timu flani itashinda"Kwa sasa Kuna Watu Hawaongei ila Baada Ya Dk 90 utaona Uzi Umejaa fasta
$400 bettingJuve anashinda 2-1.Anaebisha tuweke mzigo
Wazee wa kibox.
Huwa nawashangaa... wao wanasubiri matokeo kisha wanakuja kutamba Kwa mayowe.Kwa sasa Kuna Watu Hawaongei ila Baada Ya Dk 90 utaona Uzi Umejaa fasta