Utabiri wa Al Habib Omary Bin Sumeit kuhusu Zanzibar

Utabiri wa Al Habib Omary Bin Sumeit kuhusu Zanzibar

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
UTABIRI WA AL HABIB SAYYID OMAR BIN SUMEIT

Al Habib Sayyid Omar bin Sumeit alitabiri kuwa Zanzibar itarejea katika hali yake.

Alisema maneno haya ya kutia matumaini baada ya kushuhudia mapinduzi na yaliyofuata baada ya Mapinduzi.

Katika kitabu kipya "Maisha ya Rajabu Ibrahim Kirama Kutoka Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam," nimeandika habari za Al Habib Sayyid Omar bin Sumeit.

Miaka ya mwanzoni 1940s Al Habib alikwenda Machame sehemu inayoitwa Kalali kufungua Msikiti wa kwanza wa Ijumaa Uchaggani na alipokelewa na Chief Abdiel Shangali aliyeapa baada ya kuchukua utawala kutoka kwa Baba yake kuwa hataruhusu Uislam kuingia katika nchi yake.

Rajabu Ibrahim Kirama kwa juhudi kubwa aliweza kuuingiza Uislam Machame Nkuu kwa msaada Sheikh Hassan bin Ameir mwanafunzi wa Sayyid Ahmad bin Sumeit baba yake Al Habib.

Miaka ya mwanzoni 1940s kama inavyoonyesha hapo juu Sayyid Omar bin Sumeit alifika Kalali kijiji si mbali na Nkuu kufungua kwa takbir msikiti wa kwanza wa Ijumaa Uchaggani.

Leo nyaraka za historia hii zimehifadhiwa na ukoo wa Mzee Rajabu kwa takriban miaka 90 hadi zimetufikia kwa rehema zake Allah na Allah katuwezesha kuandika kitabu cha historia ya Uislam Uchaggani historia ambayo ilikuwa imepotea.

Sheikh Hassan bin Ameir alipokwenda Machame 1945 alimshukuru Chief Shangali kwa ukarimu wake kwa mapokezi ya Mufti wa Zanzibar Sayyid Omar bin Sumeit.

Tukitazama nyuma katika mienendo ya mabwana hawa wakubwa na maneno yao hapana shaka faraja itarejea.

Nani katika sisi aliyajua haya ya Al Habib, Chief Shangali na Msikiti wa Ijumaa wa Kalali Machame?

Nani aliyejua kuwa katika nyumba ya mtoto wa Rajabu Ibrahim Kirama, Salim Rajabu darini kwake katika magunia kuna nyaraka zilizohifadhi majina ya mabwana wakubwa hawa waliotoka Zanzibar hadi Kilimanjaro Uchaggani kuwaita ndugu zao kati salama na amani?

In Shaa Allah Zanzibar itavuka mitihani hii yake ya damu na machozi kama alivyotabiri Al Habib Sayyid Omar bin Sumeit.

Amin.
 
Angalia picha na taarifa nyingine:
IMG-20201105-WA0086.jpg
Screenshot_20201105-194209.jpg
Screenshot_20201105-194901.jpg
 
UTABIRI WA AL HABIB SAYYID OMAR BIN SUMEIT

Al Habib Sayyid Omar bin Sumeit alitabiri kuwa Zanzibar itarejea katika hali yake.

Alisema maneno haya ya kutia matumaini baada ya kushuhudia mapinduzi na yaliyofuata baada ya Mapinduzi.

Katika kitabu kipya "Maisha ya Rajabu Ibrahim Kirama Kutoka Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam," nimeandika habari za Al Habib Sayyid Omar bin Sumeit.

Miaka ya mwanzoni 1940s Al Habib alikwenda Machame sehemu inayoitwa Kalali kufungua Msikiti wa kwanza wa Ijumaa Uchaggani na alipokelewa na Chief Abdiel Shangali aliyeapa baada ya kuchukua utawala kutoka kwa Baba yake kuwa hataruhusu Uislam kuingia katika nchi yake.

Rajabu Ibrahim Kirama kwa juhudi kubwa aliweza kuuingiza Uislam Machame Nkuu kwa msaada Sheikh Hassan bin Ameir mwanafunzi wa Sayyid Ahmad bin Sumeit baba yake Al Habib.

Miaka ya mwanzoni 1940s kama inavyoonyesha hapo juu Sayyid Omar bin Sumeit alifika Kalali kijiji si mbali na Nkuu kufungua kwa takbir msikiti wa kwanza wa Ijumaa Uchaggani.

Leo nyaraka za historia hii zimehifadhiwa na ukoo wa Mzee Rajabu kwa takriban miaka 90 hadi zimetufikia kwa rehema zake Allah na Allah katuwezesha kuandika kitabu cha historia ya Uislam Uchaggani historia ambayo ilikuwa imepotea.

Sheikh Hassan bin Ameir alipokwenda Machame 1945 alimshukuru Chief Shangali kwa ukarimu wake kwa mapokezi ya Mufti wa Zanzibar Sayyid Omar bin Sumeit.

Tukitazama nyuma katika mienendo ya mabwana hawa wakubwa na maneno yao hapana shaka faraja itarejea.

Nani katika sisi aliyajua haya ya Al Habib, Chief Shangali na Msikiti wa Ijumaa wa Kalali Machame?

Nani aliyejua kuwa katika nyumba ya mtoto wa Rajabu Ibrahim Kirama, Salim Rajabu darini kwake katika magunia kuna nyaraka zilizohifadhi majina ya mabwana wakubwa hawa waliotoka Zanzibar hadi Kilimanjaro Uchaggani kuwaita ndugu zao kati salama na amani?

In Shaa Allah Zanzibar itavuka mitihani hii yake ya damu na machozi kama alivyotabiri Al Habib Sayyid Omar bin Sumeit.

Amin.
Binafsi siamini Kama ipo siku tutakuwa na Zanzibar yenye mamlaka, kwasababu ccm itatawala milele na ccm ndio huamua kuhusu Tanganyika na Zanzibar na watawala wamewafanya wananchi wa Tanganyika na Zanzibar kuwa vibaraka wa fikira.
Tunaelekea kuwa na kizazi Cha mapokeo ya historia ya uongo kwaajili ya kutukuza ccm na watawala wao.
 
Binafsi siamini Kama ipo siku tutakuwa na Zanzibar yenye mamlaka, kwasababu ccm itatawala milele na ccm ndio huamua kuhusu Tanganyika na Zanzibar na watawala wamewafanya wananchi wa Tanganyika na Zanzibar kuwa vibaraka wa fikira.
Tunaelekea kuwa na kizazi Cha mapokeo ya historia ya uongo kwaajili ya kutukuza ccm na watawala wao.
Impongo,
Wayunani, Warumi na Wapersia yalikuwa mataifa makubwa yakaanguka na dunia ikawa inasonga mbele.

Ukuta wa Berlin umeanguka na hili halikuwa linategemewa.
 
Impongo,
Wayunani, Warumi na Wapersia yalikuwa mataifa makubwa yakaanguka na dunia ikawa inasonga mbele.

Ukuta wa Berlin umeanguka na hili halikuwa linategemewa.
Mzee said
Hawa wayunani,rumi na Persia hata ukuta wa Berlin kwa manazi wenyeji wa huko hutumia akili nyingi kusaka maarifa mapya kuhusu kesho yao, huwezi kufananisha na wa Tanzania ambao hushangilia watawala wao kwa kuwa wamevaa suti.
Watu ambao wanaweza kuleta changamoto ni wapemba pekee na wao wapo wachache sidhani kama wanafika hata laki saba kwenye taifa lenye watu karibu million 60, na Wapemba wenyewe wameoa watanganyika umekuwa mchanganyiko mwingi.
Kwa aina ya jamii ya watanzania (wadanganyika) ilivyo sitegemei kama utatokea muujiza wowote Ccm itoke madarakani ili Zanzibar iwe huru naona kama ndoto za mchana ashakum si tusi.
 
Viongozi wa jamii mbili kubwa uislamu na ukristo wamepoteza kibali chao cha kuwa wenye haki kusema kweli ya kuhusu wanyonge wamegeuka kuwa wasemaji wa watawala haki haipo tena sioni namna yoyote tunaweza kuwa uhuru katika fikra mpya ya Tanganyika huru na Zanzibar iliyo huru sioni huo muujiza na haiwezekani.
 
Mzee said
Hawa wayunani,rumi na Persia hata ukuta wa Berlin kwa manazi wenyeji wa huko hutumia akili nyingi kusaka maarifa mapya kuhusu kesho yao, huwezi kufananisha na wa Tanzania ambao hushangilia watawala wao kwa kuwa wamevaa suti.
Watu ambao wanaweza kuleta changamoto ni wapemba pekee na wao wapo wachache sidhani kama wanafika hata laki saba kwenye taifa lenye watu karibu million 60, na Wapemba wenyewe wameoa watanganyika umekuwa mchanganyiko mwingi.
Kwa aina ya jamii ya watanzania (wadanganyika) ilivyo sitegemei kama utatokea muujiza wowote Ccm itoke madarakani ili Zanzibar iwe huru naona kama ndoto za mchana ashakum si tusi.
Wapemba ni watu walielimika kuliko makabila mengi Tanzani, mfano tu CAG Asad, Professor Mbawara na wengine wengi ambao ni wana taaluma. Wapo kila sehemu duniani na wanampa Maalim Seif msaada mkubwa.
 
sijui kwanini huwa mnahusisha siasa za zanzibar na dini ya kiislam.

in a modern civilization there should be a clear separation between state and religion.
 
Wapemba ni watu walielimika kuliko makabila mengi Tanzani, mfano tu CAG Asad, Professor Mbawara na wengine wengi ambao ni wana taaluma. Wapo kila sehemu duniani na wanampa Maalim Seif msaada mkubwa.
Ndio maana siamini kuwa ipo siku watu wa Tanganyika na unguja wanawaza kuelimika kwa wingi na kuwa na mtizamo usio wa kinafiki kwa mstakabali wa Tanzania na vizazi vijavyo nionavyo hata Pemba itamezwa na vizazi vya Tanganyika mwisho wa siku watu kama akina maalimu seif na wenzake itabakia historia tu.
 
Wapemba ni watu walielimika kuliko makabila mengi Tanzani, mfano tu CAG Asad, Professor Mbawara na wengine wengi ambao ni wana taaluma. Wapo kila sehemu duniani na wanampa Maalim Seif msaada mkubwa.
Mkuu huyo Mbawara Mngoni au kabila gani?
 
Mzee said
Hawa wayunani,rumi na Persia hata ukuta wa Berlin kwa manazi wenyeji wa huko hutumia akili nyingi kusaka maarifa mapya kuhusu kesho yao, huwezi kufananisha na wa Tanzania ambao hushangilia watawala wao kwa kuwa wamevaa suti.
Watu ambao wanaweza kuleta changamoto ni wapemba pekee na wao wapo wachache sidhani kama wanafika hata laki saba kwenye taifa lenye watu karibu million 60, na Wapemba wenyewe wameoa watanganyika umekuwa mchanganyiko mwingi.
Kwa aina ya jamii ya watanzania (wadanganyika) ilivyo sitegemei kama utatokea muujiza wowote Ccm itoke madarakani ili Zanzibar iwe huru naona kama ndoto za mchana ashakum si tusi.
Na hata hao wapemba wala hawana nia ya dhati ma hivo visiwa,ni ubinafsi wao tu wa kujitaftia passport za ukimbizi waweze kuishi ughaibuni.hawana lolote.
 
UTABIRI WA AL HABIB SAYYID OMAR BIN SUMEIT

Al Habib Sayyid Omar bin Sumeit alitabiri kuwa Zanzibar itarejea katika hali yake.

Alisema maneno haya ya kutia matumaini baada ya kushuhudia mapinduzi na yaliyofuata baada ya Mapinduzi.

Katika kitabu kipya "Maisha ya Rajabu Ibrahim Kirama Kutoka Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam," nimeandika habari za Al Habib Sayyid Omar bin Sumeit.

Miaka ya mwanzoni 1940s Al Habib alikwenda Machame sehemu inayoitwa Kalali kufungua Msikiti wa kwanza wa Ijumaa Uchaggani na alipokelewa na Chief Abdiel Shangali aliyeapa baada ya kuchukua utawala kutoka kwa Baba yake kuwa hataruhusu Uislam kuingia katika nchi yake.

Rajabu Ibrahim Kirama kwa juhudi kubwa aliweza kuuingiza Uislam Machame Nkuu kwa msaada Sheikh Hassan bin Ameir mwanafunzi wa Sayyid Ahmad bin Sumeit baba yake Al Habib.

Miaka ya mwanzoni 1940s kama inavyoonyesha hapo juu Sayyid Omar bin Sumeit alifika Kalali kijiji si mbali na Nkuu kufungua kwa takbir msikiti wa kwanza wa Ijumaa Uchaggani.

Leo nyaraka za historia hii zimehifadhiwa na ukoo wa Mzee Rajabu kwa takriban miaka 90 hadi zimetufikia kwa rehema zake Allah na Allah katuwezesha kuandika kitabu cha historia ya Uislam Uchaggani historia ambayo ilikuwa imepotea.

Sheikh Hassan bin Ameir alipokwenda Machame 1945 alimshukuru Chief Shangali kwa ukarimu wake kwa mapokezi ya Mufti wa Zanzibar Sayyid Omar bin Sumeit.

Tukitazama nyuma katika mienendo ya mabwana hawa wakubwa na maneno yao hapana shaka faraja itarejea.

Nani katika sisi aliyajua haya ya Al Habib, Chief Shangali na Msikiti wa Ijumaa wa Kalali Machame?

Nani aliyejua kuwa katika nyumba ya mtoto wa Rajabu Ibrahim Kirama, Salim Rajabu darini kwake katika magunia kuna nyaraka zilizohifadhi majina ya mabwana wakubwa hawa waliotoka Zanzibar hadi Kilimanjaro Uchaggani kuwaita ndugu zao kati salama na amani?

In Shaa Allah Zanzibar itavuka mitihani hii yake ya damu na machozi kama alivyotabiri Al Habib Sayyid Omar bin Sumeit.

Amin.
Kumbe huyo ndio aliwaleta wavaa vipedo wachinjachinja hadi Msumbiji!!
 
Sasa huu ni ujinga gani tena...Yaani siamini kama kuna wananchi wanalilia Zanzibar kuwa tena chini ya Waarab ambao walikuwa wananyanyasa wananchi waafrika wenye nchi na kuwanyanyasa. Hivi mmewahi kujiuliza kwanini Zanzibar ilipinduliwa? Mwananchi gani mwenye akili timamu anakubali kutawaliwa na kunyanyaswa kama walivyofanya waarab kwa mababu zetu? Ondoeni ujinga huu mawazoni mwenu, hamtaki kuishi Zanzibar basi hamieni Comoro ama Somalia kwenye amani.
 
Back
Top Bottom