MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Wakuu utabiri wa hali ya hewa jijini Dar es Salaam unaonesha tarehe 24/12/2018 kutakuwa na jua kali na hamna dalili yoyote ya manyunyu wala mvua.
Kuna mtu huwa anategemea mvua miaka yote ili ashinde ,sasa sijui kesho itakuwaje?
Miaka 50 mnatagemea mvua ndio mshinde,kwenye karne hii ya sayansi na teknolojia?
Kuna mtu huwa anategemea mvua miaka yote ili ashinde ,sasa sijui kesho itakuwaje?
Miaka 50 mnatagemea mvua ndio mshinde,kwenye karne hii ya sayansi na teknolojia?