MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Unajua kukurupuka trh 24 wakt mechi ni tarh 23Wakuu utabiri wa hali ya hewa jijini Dar es Salaam unaonesha tarehe 24/12/2018 kutakuwa na jua kali na hamna dalili yoyote ya manyunyu wala mvua.
Kuna mtu huwa anategemea mvua miaka yote ili ashinde ,sasa sijui kesho itakuwaje?
Miaka 50 mnatagemea mvua ndio mshinde,kwenye karne hii ya sayansi na teknolojia?
Jua lipo au halipo?Unajua kukurupuka trh 24 wakt mechi ni tarh 23