Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,865
- 3,633
Wanaume watakuwa wakali kipindi cha Disemba mpaka mwanzoni mwa February[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] NA kwa wanawake walioolewa na watumishi wa umma, kutakuwa na vipindi virefu vya HASIRA & KUSONYA [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
_
Aidha ukanda wa ```Michepuko,``` hali haitakuwa shwari kwa sababu PESA hazitavuma kutoka mifukoni mwa wanaume.[emoji2992][emoji2992][emoji2992][emoji2992][emoji2992][emoji2992][emoji2992] Kiwango cha juu cha ```usaliti``` kitapungua na kufikia 0. 75% wakati chuki ndani ya ndoa ikiongezeka kufuatia uhaba wa pesa[emoji1784][emoji1784][emoji1784]
_
[emoji174] Utabiri huu wa hali ya Ndoa umeletwa kwenu na ```Mamlaka ya hali ya Ndoa nchini & kwa `Hisani ya JF``[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji122][emoji122][emoji122] AKSANTENI [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
_
Aidha ukanda wa ```Michepuko,``` hali haitakuwa shwari kwa sababu PESA hazitavuma kutoka mifukoni mwa wanaume.[emoji2992][emoji2992][emoji2992][emoji2992][emoji2992][emoji2992][emoji2992] Kiwango cha juu cha ```usaliti``` kitapungua na kufikia 0. 75% wakati chuki ndani ya ndoa ikiongezeka kufuatia uhaba wa pesa[emoji1784][emoji1784][emoji1784]
_
[emoji174] Utabiri huu wa hali ya Ndoa umeletwa kwenu na ```Mamlaka ya hali ya Ndoa nchini & kwa `Hisani ya JF``[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji122][emoji122][emoji122] AKSANTENI [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]