Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,301
- 8,706
Dini (Za Kigeni) ni mfumo wa imani wa wenzetu yaani "wazungu na waarabu" waliouleta Africa kujaribu kutuhadaa na kututawala.. hawa jamaa walileta dini katika Ardhi yetu zama za Giza!
Kwa sasa waafrika wanazidi kupata Elimu na kufunguka fikra na kugundua uongo nadhifu mno uliofichwa kwenye vitabu hivi ambavyo wao huviita Vitabu vitakatifu yaani "Biblia na Quran"
Wenzetu waliotangulia kufunguka fikra kama kina Einstein, Tesla,Hawkings na wengineo hawajawahi kuamini katika hizo Dini.. kwao vitabu hivyo ni hadithi tu za kitoto!
Pia kwa huku afrika ambapo dini inaabudiwa na wengi itafika mahali Dini zitakosa waamini, watu hawatoamini tena katika Figure za dhahania kama "Yesu wa Nazareti na Mohamed"..
Yajayo yanafurahisha!
Kwa sasa waafrika wanazidi kupata Elimu na kufunguka fikra na kugundua uongo nadhifu mno uliofichwa kwenye vitabu hivi ambavyo wao huviita Vitabu vitakatifu yaani "Biblia na Quran"
Wenzetu waliotangulia kufunguka fikra kama kina Einstein, Tesla,Hawkings na wengineo hawajawahi kuamini katika hizo Dini.. kwao vitabu hivyo ni hadithi tu za kitoto!
Pia kwa huku afrika ambapo dini inaabudiwa na wengi itafika mahali Dini zitakosa waamini, watu hawatoamini tena katika Figure za dhahania kama "Yesu wa Nazareti na Mohamed"..
Yajayo yanafurahisha!