Utabiri wa kikosi Tanzania vs Congo DR

Utabiri wa kikosi Tanzania vs Congo DR

Dp800

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
1,793
Reaction score
3,709
Kwa kutambua umuhimu wa mechi ya leo na aina ya wachezaji walioitwa Taifa stars, ungekuwa nafasi ya kocha Poulsen ungekuja na kikosi gani? Mimi ningeanza na hawa hapa
Screenshot_20211111-053105.png
 
toa mzamiru hapo
Hapo kwa mzamiru second half anakaa Nyoni kama tutakuwa tumefanikiwa kuongoza walau goli moja.
Nilichagua mzamiru sababu work rate yake ni kubwa sana na gemu ya leo inahitaji kufanya kazi sana
 
Hapo kwa mzamiru second half anakaa Nyoni kama tutakuwa tumefanikiwa kuongoza walau goli moja.
Nilichagua mzamiru sababu work rate yake ni kubwa sana na gemu ya leo inahitaji kufanya kazi sana
yeah sure aiseee
 
Toa Feisal weka chombo redondo
 
ila hawa makocha yani unamuacha Ulimwengu Thomas unamuita John Bocco ngoja tuone.
Nadhani ingeshangaza zaidi kumuacha John Boco na kumchukua ulimwengu.
Kumbuka Bocco ndio MVP wa Tanzania msimu uliopita
 
Kwa kutambua umuhimu wa mechi ya leo na aina ya wachezaji walioitwa Taifa stars, ungekuwa nafasi ya kocha Poulsen ungekuja na kikosi gani? Mimi ningeanza na hawa hapa
View attachment 2006483
Niwe tu mkweli Samata ni mtamu zaidi akiwa anatokea pembeni kuliko akicheza katikati
 
Back
Top Bottom