Naunga mkono hojaUchambuzi wangu
Mpira wa Leo utakuwa ni mgumu sana Katika baadhi ya mechi walizowahi kukutana nazo .....coz pressure itakuwa juu zaidi Kwa kolo ......since ndiyo timu itakayoangaliwa zaidi
Facts
Power Dynamo watakuja kucheza Kwa kujilipua coz hawana Cha kupoteza mbele ya kolo ......so kitendo Cha kujilipua Kwa kushambulia kama nyuki ...... power Dynamo wataambulia goli 2 .since defense ya kolo + goalkeeping is very poor....huku Makolo wakitoka 0 ..... kutokana na kucheza Kwa pressure kubwa .....
Hivyo basi
Kwaherin maKolo .. ahsanteni Kwa kushiriki [emoji1].... Tukutane champions mwaka ujaoView attachment 2768221
Safi sana....Moto unawaka [emoji23]
cc;Labaninyani
Nani alifungwa zote hizo?Pumbafff zao.πππππ
1-Mzee Sunday Manara.Wenye akili yanga ni wawili tu
1..............................................................
2.............................................................
Hayo magoli yaweke vice versa. Trust me Utanishukuru baadae.[emoji1488]Uchambuzi wangu
Mpira wa Leo utakuwa ni mgumu sana Katika baadhi ya mechi walizowahi kukutana nazo coz pressure itakuwa juu zaidi Kwa kolo since ndiyo timu itakayoangaliwa zaidi
Facts
Power Dynamo watakuja kucheza Kwa kujilipua coz hawana Cha kupoteza mbele ya kolo ......so kitendo Cha kujilipua Kwa kushambulia kama nyuki ...... power Dynamo wataambulia goli 2. Since defense ya kolo + goalkeeping is very poor....huku Makolo wakitoka 0 ..... kutokana na kucheza Kwa pressure kubwa .....
Hivyo basi
Kwaherin maKolo .. ahsanteni Kwa kushiriki.... Tukutane champions mwaka ujaoView attachment 2768221
Ni wivu tu Ni wivu tu (Kwa sauti ya Gwajiboy)Uchambuzi wangu
Mpira wa Leo utakuwa ni mgumu sana Katika baadhi ya mechi walizowahi kukutana nazo coz pressure itakuwa juu zaidi Kwa kolo since ndiyo timu itakayoangaliwa zaidi
Facts
Power Dynamo watakuja kucheza Kwa kujilipua coz hawana Cha kupoteza mbele ya kolo ......so kitendo Cha kujilipua Kwa kushambulia kama nyuki ...... power Dynamo wataambulia goli 2. Since defense ya kolo + goalkeeping is very poor....huku Makolo wakitoka 0 ..... kutokana na kucheza Kwa pressure kubwa .....
Hivyo basi
Kwaherin maKolo .. ahsanteni Kwa kushiriki.... Tukutane champions mwaka ujaoView attachment 2768221