Utabiri wa mechi ya simba na Yanga ngao ya jamii

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Huu ni utabiri wangu
Mayele leo kwenye dakika ya 20+ atafunga simba bao la kichwa

Kwenye dakika ya 50+ aucho atafunga goli la kumalizia

Kwenye dakika ya 67+
Simba wata gomboa goli kwa mkwaju wa penalti ambao utapigwa na shomary kapombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…