Utabiri wa moi-kanu kutawala miaka 100 umetimia

Utabiri wa moi-kanu kutawala miaka 100 umetimia

mfianchi

Platinum Member
Joined
Jul 1, 2009
Posts
11,904
Reaction score
8,371
Kanu kutawala mika 100 ,utabiri wa prof. Wa siasa mzee moi umetimia
 

Attachments

  • KANU.jpg
    KANU.jpg
    43.4 KB · Views: 179
Hebu iweke wazi mkuu, mimi sijaelewa kabisa!!!!!

uhuru kenyata ni kijana wa moi hajawai kuhama KANU, kumbuka moi ndo alitaka awe mrithi wake kabla ya kibaki, so uhuru kairudisha KANU kwa mgongo wa nyuma tu , TNA na the so called jubilee ni daraja tu.
 
uhuru kenyata ni kijana wa moi hajawai kuhama KANU, kumbuka moi ndo alitaka awe mrithi wake kabla ya kibaki, so uhuru kairudisha KANU kwa mgongo wa nyuma tu , TNA na the so called jubilee ni daraja tu.

Good! Tingisa kidole moja!
 
uhuru kenyata ni kijana wa moi hajawai kuhama KANU, kumbuka moi ndo alitaka awe mrithi wake kabla ya kibaki, so uhuru kairudisha KANU kwa mgongo wa nyuma tu , TNA na the so called jubilee ni daraja tu.

Acha uongo; KANU ilimuunga Mudavadi wa AMANI ila kwa sasa chama cha KANU kimeingia mkataba na Jubilee kama vingine vidogo dogo vilivyofanya.
 
Acha uongo; KANU ilimuunga Mudavadi wa AMANI ila kwa sasa chama cha KANU kimeingia mkataba na Jubilee kama vingine vidogo dogo vilivyofanya.

Umeona wapi niliposema KANU ilimuunga mkono uhuru kwenye uchaguzi uliopita, rejea nilichoandika nimesema toka awali kabla kibaki hajawa rais pendekezo la MOI ilikuwa Uhuru kupitia KANU hadi uhuru aliposhindwa uchaguzi, mafungamano ya uhuru na moi yapo pale pale kilichobadilika ni kuwa sasa kasimama kupitia TNA, uwe unajibu mada bila kunywa viroba
 
Hapo kilichobadilika ni jina tu,kanu bado ipo pale pale,tena this time imerudi kwa nguvu za giza na ukabila.uchaguzi wa mwaka huu umewagawa wakenya sana.mwenye jicho pevu anaweza akadadavua.ila wale waliovaa miwani ya mbao ndio watapinga
 
Umeona wapi niliposema KANU ilimuunga mkono uhuru kwenye uchaguzi uliopita, rejea nilichoandika nimesema toka awali kabla kibaki hajawa rais pendekezo la MOI ilikuwa Uhuru kupitia KANU hadi uhuru aliposhindwa uchaguzi, mafungamano ya uhuru na moi yapo pale pale kilichobadilika ni kuwa sasa kasimama kupitia TNA, uwe unajibu mada bila kunywa viroba
Huenda Mwitaz anajua kikurya na kiingereza,kiswahili kwake imekuwa shida
 
Back
Top Bottom