Hilo ndiyo lengo lake mengine mbwembwe tuYani Dauda kweli akili hana ni tahira yani mwarabu wa misri aje bongo apate point 3! Kwa simba hii ya leo ukizingatia tuna faida ya hali ya hewa, Nahama duniani naenda pluto.
.
Anyway anatafuta followers kwa nguvu kwa kushirikiana na manara akifikisha followers laki 5 ndiyo mtaelewa hili picha
Kwaiyo utampiga...si ndio..[emoji23][emoji23]Shafihii anachokitafuta atakipata, nilinyamaza sasa naona hii ni too much.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mnamshambulia binafsi na sio hoja zakeHuyu jamaa itakua alitaka apakuliwe na Haji, Haji akagoma.
Yani apotee kisa kuinanga Simba? Who is Simba by the way?! (Katika Sauti ya Idd Amin)Huyu jamaa, atapotea kwenye tasnia ya uchambuzi wa soka akiendelea kuinanga Simba. Coz Simba kila mara wanamprove wrong
Mbona mnamlaumu? Hii ni sawa na kubet. Au mnaona utabiri wake upo sahh,mnasikia aibu?[emoji17]sasa DAUDA uanataka na sisi wachache ambao huwa tunavua kidogo mahaba tukushtukie! kwa nini unakomalia kuitakia SImba mabaya tu! Hivi huna lingine la kuandika ........vu!
kwamba huyo mwenye simu ni shaffih..angakia vizuri yule hana hadhi ya kuvaa uzi huo yule jamaa ni chura..Ugomvi wa ndugu usiingilie utaumbuka,Kazi kwenu mikia na ndugu yenuView attachment 996130
Mwenye miwanikwamba huyo mwenye simu ni shaffih..angakia vizuri yule hana hadhi ya kuvaa uzi huo yule jamaa ni chura..
Kweli mkuu,,yeye anaona kama anamkomoa MANARA,,lakini kumbe anajipalilia makaa mwnyewe,,, ngoja MNYAMA aingie hatua ya mtoano,,,,atajutaumenikumbusha na Sheihk Yahya na yeye nusura apigwe na mashabiki ya Simba, alipotabiri mnyama anakufa, then yanga akafa...
watu wametoka uwanjani hao, mpaka magomeni.. polisi wakawahi kuzunguka nyumba yake...ndio ponea yake
We bwege kweli. Usahihi wake nini. Timu zote zilizo qualify ktk group stage zinaweza. Ndio maana Barcelona huwa anateswa na vitimu video tu kule Spain. Mpira sio Ramli brother.Mpira unadunda lakini sio kwenye maji, alichosema dauda ni sahihi but kwenye mpira chcht hutokea
Mkuu mpira sio vita kama unayoitaka wewe mpaka kuniita bwege, ndo maana nmekwambia Mpira unadunda yaan timu ndogo kuifunga kubwa huwa inatokea, ivi hizo timu ndogo unazozisema zimeifunga Barcelona jee zmechukua ubingwa Mara ngapi mbele ya Barcelona, tatizo la bongo ndo hili mtu akiongea kuhusu hz simba na yanga mnataka asifie hata kama ni uongo,We bwege kweli. Usahihi wake nini. Timu zote zilizo qualify ktk group stage zinaweza. Ndio maana Barcelona huwa anateswa na vitimu video tu kule Spain. Mpira sio Ramli brother.