Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
Sheikh Yahya Hussein alitabiri kuwa mtu yeyote ataeshindana na Kikwete atakufa. watu wengi walikanusha na kumbeza, wengine walidiriki kusema mzee amechoka na hana mpya.
kumbe utabiri wake una ukweli wa kutosha, wengi tulifikiri kufa ni kutoka roho tu. lakini hata kufa kisiasa ni kufa
kwa hio ndugu yetu shibuda aliepambana na Kikwete tayari ameshakufa kisiasa
kumbe utabiri wake una ukweli wa kutosha, wengi tulifikiri kufa ni kutoka roho tu. lakini hata kufa kisiasa ni kufa
kwa hio ndugu yetu shibuda aliepambana na Kikwete tayari ameshakufa kisiasa