Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
sheikh yahya hussein alitabiri kuwa mtu yeyote ataeshindana na kikwete atakufa. watu wengi walikanusha na kumbeza, wengine walidiriki kusema mzee amechoka na hana mpya.
kumbe utabiri wake una ukweli wa kutosha, wengi tulifikiri kufa ni kutoka roho tu. lakini hata kufa kisiasa ni kufa
kwa hio ndugu yetu shibuda aliepambana na kikwete tayari ameshakufa kisiasa
Mzee wewe wajua hii ni PUMBA!
Kwani wewe msemaji wa Sh Yahya, au mko dili moja huko kusadikika?
sheikh yahya hussein alitabiri kuwa mtu yeyote ataeshindana na kikwete atakufa. watu wengi walikanusha na kumbeza, wengine walidiriki kusema mzee amechoka na hana mpya.
kumbe utabiri wake una ukweli wa kutosha, wengi tulifikiri kufa ni kutoka roho tu. lakini hata kufa kisiasa ni kufa
wa hio ndugu yetu shibuda aliepambana na kikwete tayari ameshakufa kisiasa
sheikh yahya hussein alitabiri kuwa mtu yeyote ataeshindana na kikwete atakufa. watu wengi walikanusha na kumbeza, wengine walidiriki kusema mzee amechoka na hana mpya.
kumbe utabiri wake una ukweli wa kutosha, wengi tulifikiri kufa ni kutoka roho tu. lakini hata kufa kisiasa ni kufa
kwa hio ndugu yetu shibuda aliepambana na kikwete tayari ameshakufa kisiasa
sheikh yahya hussein alitabiri kuwa mtu yeyote ataeshindana na kikwete atakufa. watu wengi walikanusha na kumbeza, wengine walidiriki kusema mzee amechoka na hana mpya.
kumbe utabiri wake una ukweli wa kutosha, wengi tulifikiri kufa ni kutoka roho tu. lakini hata kufa kisiasa ni kufa
kwa hio ndugu yetu shibuda aliepambana na kikwete tayari ameshakufa kisiasa
[QUOTE said:sheikh yahya hussein alitabiri kuwa mtu yeyote ataeshindana na kikwete atakufa. watu wengi walikanusha na kumbeza, wengine walidiriki kusema mzee amechoka na hana mpya....
.Mzee wewe wajua hii ni PUMBA!
Kwani wewe msemaji wa Sh Yahya, au mko dili moja huko kusadikika?
Aliyekuroga wewe alikufa mwaka jana! Ondoka hapa na upuuzi wako!sheikh yahya hussein alitabiri kuwa mtu yeyote ataeshindana na kikwete atakufa. watu wengi walikanusha na kumbeza, wengine walidiriki kusema mzee amechoka na hana mpya.
kumbe utabiri wake una ukweli wa kutosha, wengi tulifikiri kufa ni kutoka roho tu. lakini hata kufa kisiasa ni kufa
kwa hio ndugu yetu shibuda aliepambana na kikwete tayari ameshakufa kisiasa
.
Wakuu,
Mbona mnashambulia sana mleta maada?Hayo ni maoni yake tu.
Kumbuka uchaguzi wa mwaka 2005,Sheikh Yahya,alitabiri kuwa mshindi katika ushaguzi huo angekuwa mwanamke.Na baada ya JK kushinda, Yahya ,alisema alikuwa na maana ya mshindi mwenye mvuto wa mwanamke.
Kwa hiyo inawezekana mleta maada akawa yuko sahihi.
Ndugu yangu kama utakuwa hivyo basi hii nchi haiendi mbele hata kidogo.!