Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Huyu alijiita member wa Deep State na alileta uzi hapa akidai kuna rais ataibuka Tanzania na kutawala kuanzia 2022 Hadi 2032.
Utabiri huo uligonga mwamba. Happy New Year.
www.jamiiforums.com
Utabiri huo uligonga mwamba. Happy New Year.
Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania
Wakuu Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII. Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano...