Utabiri: Wakili Msomi Boniface Mwabukusi ndiye yule ajaye

Utabiri: Wakili Msomi Boniface Mwabukusi ndiye yule ajaye

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,354
Reaction score
4,024
Wapendwa wana JF, ni matumaini yangu mko vizuri.

Nimeota mara kadhaa kwamba Wakili Msomi Mwabukusi atakuja kuwa kiongozi mkubwa kabisa katika nchi yetu.

Atakuwa ni Rais mpole na mnyenyekevu kuliko wote waliomtangulia. Lakini wakati huo huo, atakuwa ni Rais mkali zaidi kuwahi kutokea Tanganyika.

Wakati wa utawala wake, kutakuwa na ustawi wa watu na vitu. Raslimali za Taifa zitatumika kuwanufaisha wananchi wote bila upendeleo.

Nimeota, tena nimeoneshwa kwamba wahitimu wengi wa vyuo na vyuo vikuu ambao wamejazana mtaani, wote watapata ajira serikalini bila kujalisha umri wao wala miaka waliyohitimu. Na kwa wale ambao hawataajiriwa kwa namna moja ama nyingine, nimeoneshwa watakuwa wanalipwa posho kila mwezi!

Nimeoneshwa Watanganyika wengi wakimiliki nyumba na magari mazuri kwa gharama nafuu zilizochangiwa kwa kiasi na serikali yao.


Nimeoneshwa huduma za Afya na Elimu zikitolewa bure kwa kila mtoto wa Kitanganyika.

Nimeoneshwa pia hakutakuwa na katika katika ya umeme kwa kipindi chote atakachokuwa kiongozi.


Nimeona Watanganyika wengi wakimwongezea muda wa kuongoza kutokana na upendo, uadilifu, upole na unyenyekevu wake katika kuwaongoza Watanganyika.

Nimeona mabadiliko ya Katiba bora kabisa kuwahi kutokea Afrika, katiba ya mfano yakifanyika katika Katiba ya Tanganyika.

Nimeona mafisadi wakifunguliwa kesi, kufungwa kifungo cha maisha na wengine kunyongwa hadi kufa.

Tena nimeoneshwa fedha ambazo mafisadi hao walizoliibia Taifa kwa namna moja ama nyingine, zikitaifishwa na kuwanufaisha Watanganyika wote.

Kwa ufupi, nimeota na kuoneshwa Tanganyika inayomeremeta na kustawi huku ikiongoza kwa kuwa na uchumi mkubwa zaidi barani Afrika chini ya utawala wa Mh. Wakili Msomi Boniface Mwabukusi.

Mungu ibariki Tanganyika,

Mungu mbariki Mwabukusi,

Amin.
 
Wapendwa wana JF, ni matumaini yangu mko vizuri.

Nimeota mara kadhaa kwamba Wakili Msomi Mwabukusi atakuja kuwa kiongozi mkubwa kabisa katika nchi yetu.

Atakuwa ni Rais mpole na mnyenyekevu kuliko wote waliomtangulia. Lakini wakati huo huo, atakuwa ni Rais mkali zaidi kuwahi kutokea Tanganyika.

Wakati wa utawala wake, kutakuwa na ustawi wa watu na vitu. Raslimali za Taifa zitatumika kuwanufaisha wananchi wote bila upendeleo.

Nimeota, tena nimeoneshwa kwamba wahitimu wengi wa vyuo na vyuo vikuu ambao wamejazana mtaani, wote watapata ajira serikalini bila kujalisha umri wao wala miaka waliyohitimu. Na kwa wale ambao hawataajiriwa kwa namna moja ama nyingine, nimeoneshwa watakuwa wanalipwa posho kila mwezi!

Nimeoneshwa Watanganyika wengi wakimiliki nyumba na magari mazuri kwa gharama nafuu zilizochangiwa kwa kiasi na serikali yao.


Nimeoneshwa huduma za Afya na Elimu zikitolewa bure kwa kila mtoto wa Kitanganyika.

Nimeoneshwa pia hakutakuwa na katika katika ya umeme kwa kipindi chote atakachokuwa kiongozi.


Nimeona Watanganyika wengi wakimwongezea muda wa kuongoza kutokana na upendo, uadilifu, upole na unyenyekevu wake katika kuwaongoza Watanganyika.

Nimeona mabadiliko ya Katiba bora kabisa kuwahi kutokea Afrika, katiba ya mfano yakifanyika katika Katiba ya Tanganyika.

Nimeona mafisadi wakifunguliwa kesi, kufungwa kifungo cha maisha na wengine kunyongwa hadi kufa.

Tena nimeoneshwa fedha ambazo mafisadi hao walizoliibia Taifa kwa namna moja ama nyingine, zikitaifishwa na kuwanufaisha Watanganyika wote.

Kwa ufupi, nimeota na kuoneshwa Tanganyika inayomeremeta na kustawi huku ikiongoza kwa kuwa na uchumi mkubwa zaidi barani Afrika chini ya utawala wa Mh. Wakili Msomi Boniface Mwabukusi.

Mungu ibariki Tanganyika,

Mungu mbariki Mwabukusi,

Amin.
Labda
 
Umeoteshwa na nani mkuu
Maana hii nchi kila mtu ana Mungu wake[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndoto..

Baadhi ya watanzania waliwahi kuamini ndoto za mchungaji Mwasapila wa Loliondo.
Wengi walipoteza maisha, maana waliacha dose kwa sababu ya kikombe.

Na hii ndoto yako kuna watu wataiamini.
 
Nabali pia alimdhihaki Daudi kipindi anajitafuta kwa kumkebehi kwamba ni mtumwa aliyemtoroka bwana wake.
So, it is just a matter of time.
Let's wait and see
 
Ally Happy, Makonda, Sabaya, Mwanri, Bashiru, Polepole, Kabudi, n.k nawaona wakiwa wameshika nafasi nyeti kabisa ndani ya serikali ya Mh. Mwabukusi.
 
Wapendwa wana JF, ni matumaini yangu mko vizuri.

Nimeota mara kadhaa kwamba Wakili Msomi Mwabukusi atakuja kuwa kiongozi mkubwa kabisa katika nchi yetu.

Atakuwa ni Rais mpole na mnyenyekevu kuliko wote waliomtangulia. Lakini wakati huo huo, atakuwa ni Rais mkali zaidi kuwahi kutokea Tanganyika.

Wakati wa utawala wake, kutakuwa na ustawi wa watu na vitu. Raslimali za Taifa zitatumika kuwanufaisha wananchi wote bila upendeleo.

Nimeota, tena nimeoneshwa kwamba wahitimu wengi wa vyuo na vyuo vikuu ambao wamejazana mtaani, wote watapata ajira serikalini bila kujalisha umri wao wala miaka waliyohitimu. Na kwa wale ambao hawataajiriwa kwa namna moja ama nyingine, nimeoneshwa watakuwa wanalipwa posho kila mwezi!

Nimeoneshwa Watanganyika wengi wakimiliki nyumba na magari mazuri kwa gharama nafuu zilizochangiwa kwa kiasi na serikali yao.


Nimeoneshwa huduma za Afya na Elimu zikitolewa bure kwa kila mtoto wa Kitanganyika.

Nimeoneshwa pia hakutakuwa na katika katika ya umeme kwa kipindi chote atakachokuwa kiongozi.


Nimeona Watanganyika wengi wakimwongezea muda wa kuongoza kutokana na upendo, uadilifu, upole na unyenyekevu wake katika kuwaongoza Watanganyika.

Nimeona mabadiliko ya Katiba bora kabisa kuwahi kutokea Afrika, katiba ya mfano yakifanyika katika Katiba ya Tanganyika.

Nimeona mafisadi wakifunguliwa kesi, kufungwa kifungo cha maisha na wengine kunyongwa hadi kufa.

Tena nimeoneshwa fedha ambazo mafisadi hao walizoliibia Taifa kwa namna moja ama nyingine, zikitaifishwa na kuwanufaisha Watanganyika wote.

Kwa ufupi, nimeota na kuoneshwa Tanganyika inayomeremeta na kustawi huku ikiongoza kwa kuwa na uchumi mkubwa zaidi barani Afrika chini ya utawala wa Mh. Wakili Msomi Boniface Mwabukusi.

Mungu ibariki Tanganyika,

Mungu mbariki Mwabukusi,

Amin.
Kama shujaa JPM msukuma ambaye majitu hayampendi km ilivyo Kwa Biteko
 
Wapendwa wana JF, ni matumaini yangu mko vizuri.

Nimeota mara kadhaa kwamba Wakili Msomi Mwabukusi atakuja kuwa kiongozi mkubwa kabisa katika nchi yetu.

Atakuwa ni Rais mpole na mnyenyekevu kuliko wote waliomtangulia. Lakini wakati huo huo, atakuwa ni Rais mkali zaidi kuwahi kutokea Tanganyika.

Wakati wa utawala wake, kutakuwa na ustawi wa watu na vitu. Raslimali za Taifa zitatumika kuwanufaisha wananchi wote bila upendeleo.

Nimeota, tena nimeoneshwa kwamba wahitimu wengi wa vyuo na vyuo vikuu ambao wamejazana mtaani, wote watapata ajira serikalini bila kujalisha umri wao wala miaka waliyohitimu. Na kwa wale ambao hawataajiriwa kwa namna moja ama nyingine, nimeoneshwa watakuwa wanalipwa posho kila mwezi!

Nimeoneshwa Watanganyika wengi wakimiliki nyumba na magari mazuri kwa gharama nafuu zilizochangiwa kwa kiasi na serikali yao.


Nimeoneshwa huduma za Afya na Elimu zikitolewa bure kwa kila mtoto wa Kitanganyika.

Nimeoneshwa pia hakutakuwa na katika katika ya umeme kwa kipindi chote atakachokuwa kiongozi.


Nimeona Watanganyika wengi wakimwongezea muda wa kuongoza kutokana na upendo, uadilifu, upole na unyenyekevu wake katika kuwaongoza Watanganyika.

Nimeona mabadiliko ya Katiba bora kabisa kuwahi kutokea Afrika, katiba ya mfano yakifanyika katika Katiba ya Tanganyika.

Nimeona mafisadi wakifunguliwa kesi, kufungwa kifungo cha maisha na wengine kunyongwa hadi kufa.

Tena nimeoneshwa fedha ambazo mafisadi hao walizoliibia Taifa kwa namna moja ama nyingine, zikitaifishwa na kuwanufaisha Watanganyika wote.

Kwa ufupi, nimeota na kuoneshwa Tanganyika inayomeremeta na kustawi huku ikiongoza kwa kuwa na uchumi mkubwa zaidi barani Afrika chini ya utawala wa Mh. Wakili Msomi Boniface Mwabukusi.

Mungu ibariki Tanganyika,

Mungu mbariki Mwabukusi,

Amin.

No offence namkubali mwabukusi but hii ni day dream
 
Wapendwa wana JF, ni matumaini yangu mko vizuri.

Nimeota mara kadhaa kwamba Wakili Msomi Mwabukusi atakuja kuwa kiongozi mkubwa kabisa katika nchi yetu.

Atakuwa ni Rais mpole na mnyenyekevu kuliko wote waliomtangulia. Lakini wakati huo huo, atakuwa ni Rais mkali zaidi kuwahi kutokea Tanganyika.

Wakati wa utawala wake, kutakuwa na ustawi wa watu na vitu. Raslimali za Taifa zitatumika kuwanufaisha wananchi wote bila upendeleo.

Nimeota, tena nimeoneshwa kwamba wahitimu wengi wa vyuo na vyuo vikuu ambao wamejazana mtaani, wote watapata ajira serikalini bila kujalisha umri wao wala miaka waliyohitimu. Na kwa wale ambao hawataajiriwa kwa namna moja ama nyingine, nimeoneshwa watakuwa wanalipwa posho kila mwezi!

Nimeoneshwa Watanganyika wengi wakimiliki nyumba na magari mazuri kwa gharama nafuu zilizochangiwa kwa kiasi na serikali yao.


Nimeoneshwa huduma za Afya na Elimu zikitolewa bure kwa kila mtoto wa Kitanganyika.

Nimeoneshwa pia hakutakuwa na katika katika ya umeme kwa kipindi chote atakachokuwa kiongozi.


Nimeona Watanganyika wengi wakimwongezea muda wa kuongoza kutokana na upendo, uadilifu, upole na unyenyekevu wake katika kuwaongoza Watanganyika.

Nimeona mabadiliko ya Katiba bora kabisa kuwahi kutokea Afrika, katiba ya mfano yakifanyika katika Katiba ya Tanganyika.

Nimeona mafisadi wakifunguliwa kesi, kufungwa kifungo cha maisha na wengine kunyongwa hadi kufa.

Tena nimeoneshwa fedha ambazo mafisadi hao walizoliibia Taifa kwa namna moja ama nyingine, zikitaifishwa na kuwanufaisha Watanganyika wote.

Kwa ufupi, nimeota na kuoneshwa Tanganyika inayomeremeta na kustawi huku ikiongoza kwa kuwa na uchumi mkubwa zaidi barani Afrika chini ya utawala wa Mh. Wakili Msomi Boniface Mwabukusi.

Mungu ibariki Tanganyika,

Mungu mbariki Mwabukusi,

Amin.
Bado upo.ndotoni au umeshaamka? Ukiamka nistue

Anyway namkubali huyu wakili na sina mashaka nae
 
Back
Top Bottom