mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,922
- 3,559
Habari wadau,
Natabiri kuwa huu ni msimu mwingine tena kuendelea kuona rekodi zikivunjwa na kuwekwa na Real Madrid pamoja na Christiano Ronaldo.
Madrid wameweka rekodi ya kutetea kombe la Uefa,pia ndani ya misimu minne wamelichukua mara tatu.
Sasa basi msimu huu wanalieba tena na kuendeleza rekodi ya timu pekee kuchukua mara tatu mfululizo halafu ndani ya misimu mitano itakuwa imechukua mara 4, what wonderful it is?
Sawa Messi atanyakua kombe la La Liga pamoja na kiatu cha ufungaji bora lakini Christiano atanyanyua la Uefa na kuwa mfungaji bora,na hili ndilo litakalomfanya kuwa mchezaji wa kwanza kuchukua Ballon d'or nyingi zaidi.
Ronaldo ni wa Uefa na Messi ni wa La Liga.
Natabiri kuwa huu ni msimu mwingine tena kuendelea kuona rekodi zikivunjwa na kuwekwa na Real Madrid pamoja na Christiano Ronaldo.
Madrid wameweka rekodi ya kutetea kombe la Uefa,pia ndani ya misimu minne wamelichukua mara tatu.
Sasa basi msimu huu wanalieba tena na kuendeleza rekodi ya timu pekee kuchukua mara tatu mfululizo halafu ndani ya misimu mitano itakuwa imechukua mara 4, what wonderful it is?
Sawa Messi atanyakua kombe la La Liga pamoja na kiatu cha ufungaji bora lakini Christiano atanyanyua la Uefa na kuwa mfungaji bora,na hili ndilo litakalomfanya kuwa mchezaji wa kwanza kuchukua Ballon d'or nyingi zaidi.
Ronaldo ni wa Uefa na Messi ni wa La Liga.