Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utabiri wako uheshimiwe.Power Dynomos 0 Simba 1 au Power Dynamos 0-Simba 2
Al Marekh 0 Yanga O au Almarekh 1- Yanga 1.
Vyovyote iwavyo heshimu mtazamo wake.Hisia au utabiri?
kolo nguliPower Dynomos 0 Simba 1 au Power Dynamos 0-Simba 2
Al Marekh 0 Yanga O au Almarekh 1- Yanga 1.
NakaziaUtabiri wako uheshimiwe.
NakaziaVyovyote iwavyo heshimu mtazamo wake.
Wewe sema hivyo tu? Ulishaziona tabiri zake za nyuma? Shida matokea yakija kama alivyotabiri ndo mnaanza kusema "kumbe mwamba alikuwa sahihi bhana!".kolo nguli
Jesus is Lord
Nilishafatilia nyuzi zako nyingi, mara kadhaa nilikuwa siziamini ila mwisho wa siku matokea yalikuwa kama ulivyotabiri au kutofautiana kidogo, ila siyo kinyume chake.Power Dynomos 0 Simba 1 au Power Dynamos 0-Simba 2
Al Marekh 0 Yanga O au Almarekh 1- Yanga 1.
Atakaye kupinga niambie mkuu nipo Kwa ajili ya ulinzi hapaPower Dynomos 0 Simba 1 au Power Dynamos 0-Simba 2
Al Marekh 0 Yanga O au Almarekh 1- Yanga 1.
Kula chuma hikoNilishafatilia nyuzi zako nyingi, mara kadhaa nilikuwa siziamini ila mwisho wa siku matokea yalikuwa kama ulivyotabiri au kutofautiana kidogo, ila siyo kinyume chake.
Umeongea simple, kwa kujiamini bila kuweka explanations. Ukiwa na uhakika wa kitu huhitaji kujieleza sana, unawaacha wasioamini waendelee kutoamini.
Kupitia uzi wako naenda kuweka mkeka sasa hivi.
Kula chuma cha pili hikoNilishafatilia nyuzi zako nyingi, mara kadhaa nilikuwa siziamini ila mwisho wa siku matokea yalikuwa kama ulivyotabiri au kutofautiana kidogo, ila siyo kinyume chake.
Umeongea simple, kwa kujiamini bila kuweka explanations. Ukiwa na uhakika wa kitu huhitaji kujieleza sana, unawaacha wasioamini waendelee kutoamini.
Kupitia uzi wako naenda kuweka mkeka sasa hivi.
Power Dynomos 0 Simba 1 au Power Dynamos 0-Simba 2
Al Marekh 0 Yanga O au Almarekh 1- Yanga 1.
🥱😂🤣Kula chuma cha pili hiko
Mechi ya Kimataifa Yanga hawatatoka ndani ya Dar
Watamalizwa na Zalan mechi zote mbili hapa hapa, ndani ya mipaka ya Tanzania hawatoki. Uzuri marefa sio wabongo, wakiwatoa Zalan mniite MBWA!www.jamiiforums.com