shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Yanga wamesema wanaendeleza pale walipoishia kwa Belouzdad 4+1=5 ndio hivyo Simba alishachapwa hizo sasa zamu ya Mamelodiyanga atashinda moja bila
Nikichaa ndio anaweza kuamini yanga atashinda goli tano.Yanga wamesema wanaendeleza pale walipoishia kwa Belouzdad 4+1=5 ndio hivyo Simba alishachapwa hizo sasa zamu ya Mamelodi
Siku hio hutoamini km Belouzdad alivyoshindwa kuamini km atapigwa Goli 4, hivi siku ile mnapigwa 5 mliamini km zote zitaingia ndani?Nikichaa ndio anaweza kuamini yanga atashinda goli tano.
5 tena utarudi umeshika mikono kichwaniEndelea kuamini .
Simba anakufa Jamaa wamekuja na mapipa yao km kawa kwenye pipa 1 wameweka uwanja wao wanachezea wapi na muda gani swali linarudi kwakoWekeni akiba ya maneno...
Yajayo hayajulikani..
Ila
Simba Sc ndiyo chama langu.
Mimi mwenyewe simba ila ukweli usemwe kwa simba hii.ni hatari hamtoamini macho yenu.tutachezewa mpira wa hatari.Wekeni akiba ya maneno...
Yajayo hayajulikani..
Ila
Simba Sc ndiyo chama langu.
Mboni unajihami mapema? Umekuja na matokeo yako mfukoni?Mimi mwenyewe simba ila ukweli usemwe kwa simba hii.ni hatari hamtoamini macho yenu.tutachezewa mpira wa hatari.
Haaaahaaa ukweli usemwe.Mboni unajihami mapema? Umekuja na matokeo yako mfukoni?
Kipigo kimenukia bado siku 1 tu wala sio mbaliHaaaahaaa ukweli usemwe.
Mimi sijui matokeo kamili...ila najua kuwa ni lazima kushinda, kushindwa au sare.Mimi mwenyewe simba ila ukweli usemwe kwa simba hii.ni hatari hamtoamini macho yenu.tutachezewa mpira wa hatari.
Mimi sijui matokeo...siyo mara ya kwanza Al Ahly kuja na mapipa TZ.Simba anakufa Jamaa wamekuja na mapipa yao km kawa kwenye pipa 1 wameweka uwanja wao wanachezea wapi na muda gani swali linarudi kwako
Na walipotua tu Dar vua kubwa likanyesha huku kwingine Jua linawaka wale wahenga wa Milima ya Upogoro wanasema Simba anazaa sasa anazaa watoto wangapi Mimi sijui
Mapipa unajua kaweka niniMimi sijui matokeo...siyo mara ya kwanza Al Ahly kuja na mapipa TZ.
Kwenye Africa Football League ( AFL), Al Ahly walikuja na mapipa pia...mbona wali ambulia sare Kwa Benjamin na Kwao Cairo.Mapipa unajua kaweka nini