Utabiri wangu Tanzania 0- Guinea 2

Utabiri wangu Tanzania 0- Guinea 2

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Leo Taifa Stars itapokea kichapo cha goli 2 kwa nunge.
Hatujawahi kuwa serious kwenye hatua za mechi za mwisho huwa tunafunga timu ambazo hazina wachezaji mhimu na wala hamna hicho kiwango mnachosifu Taifa,Taifa kuingia matopeni leo.
 
Back
Top Bottom