Utabiri wangu Yanga vs Simba!

Utabiri wangu Yanga vs Simba!

Usiandikie mate mkuu,
Sportpesa wamekupa fulsa.
Kama unaona simba atashinda weka mzigo hapo
Huenda ukawa sawa, maana mchana alikuwa na Odds 4, now zipo 3
Screenshot_20240807-204850_Chrome.jpg
 
Mwamposa hawezi kutabiri hii kitu kweli??
Vtunguu swaumu
Jani andika simba nyuma yanga
Mdalasini pasua saumu katikati
Weka jani lako fungal na mdalasini kwa pamoja
Washa mkaaa sio gesi

Choma moto
Moshi ukitoka kushota kashinda yanga
Kulia kashinda simba
Katikati drw

Simba qndikia na red pen
Yanga green pen

Niko palwa lwa wakala nawasubiria
 
Back
Top Bottom